Safari Lyrics by DENNO


Uko pamoja nasi Yesu
Najua umetuita zaidi ya washindi
Nitatembea naye, atembea nawe

Iyee iyee iyee safarini 
Kwa Uwezo wake Mola nitafika

Safari ndefu yaanza kwa hatua moja
Wahenga walisema
Nikiokoka nachukua hatua ya kwanza
Ya safari ya mbinguni

Kuna changamoto
Kuna panda shuka
Lakini kwa uwezo 
Wwake Yesu nitafika

Shida nyingi safarini
Ingawa safari ngumu nitafika
Shida nyingi safarini
Ingawa safari ngumu nitafika

Iyee iyee iyee safarini 
Kwa Uwezo wake Mola nitafika

Neno linasema 
Wewe kamwe hutaniacha Yesu
Utakaa nami kila hatua 
Hatua eeh eh

Sitaogopa
Hata nipite uvulini mwa mauti
Watembea nami na kusema nami
Kunibeba Yesu nishike mkono
Kaa nami usiniache naomba

Shida nyingi safarini
Ingawa safari ngumu nitafika
Shida nyingi safarini
Ingawa safari ngumu nitafika

Nishike mkono
Iyee iyee iyee safarini 
Nishike mkono
Kwa Uwezo wake Mola nitafika

Iye iyee iyee 
Najua nitafika (Oooh)
Iye iyee iyee
Uko na mimi Yesu weee

Hakuna kama wewe
Yule rafiki wa karibu
Hakuna mwingine eeh 

Shida nyingi safarini
Ingawa safari ngumu nitafika
Shida nyingi safarini
Ingawa safari ngumu nitafika

Shida nyingi safarini
Ingawa safari ngumu nitafika
Shida nyingi safarini
Ingawa safari ngumu nitafika

Iye iyee iyee safarini
Kwa uwezo wake Mola nitafika
Iye iyee iyee safarini
Kwa uwezo wake Mola nitafika

Watch Video

About Safari

Album : Safari
Release Year : 2017
Copyright : (c) 2020
Added By : Huntyr Kelx
Published : May 03 , 2020

More DENNO Lyrics

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl