Yahweh Lyrics by DENNO


Yahweh uinuliwe milele
Baba uabudiwe milele
Yahweh uinuliwe milele
Baba uabudiwe milele

Upendo gani huo, Baba ulinipenda nao
Hata ukamtoa mwanao Yesu
Azaliwe kama mwanadamu afe msalabani 
Aniokoe mimi, mwenye dhambi eeh

Niseme nini eeh Baba
Niseme nini ila niseme uinuliwe
Niseme nini eeh Baba
Niseme nini ila niseme uinuliwe

Yahweh uinuliwe milele
Baba uabudiwe milele
Yahweh uinuliwe milele
Baba uabudiwe milele

Relax, sikiza nikueleze
Ni kama sina akili mi
Kila nikifanikiwa 
Wananyakua chini chini

Relax, sikiza nimwambie eh
Watu watabonga mengi
Nilipokosana na mchumba
Walidhani nimechizi

Niseme nini mimi?
Nimechoshwa walimwengu
Nimejaribu kujinyamazia
Lakini bado naumia

Nifanye nini mimi
Nawachia Maulana
Yeye alisema atanipigania
Na haya yote namuachia eh eh

Yahweh uinuliwe milele
Baba uabudiwe milele
Yahweh uinuliwe milele
Baba uabudiwe milele

Imba tena Yahweh

Yahweh uinuliwe milele
Baba uabudiwe milele
Yahweh uinuliwe milele
Baba uabudiwe milele

Umevikwa utukufu na heshima
Nguvu na uweza
Kila goti litakunjwa
Na kila ulimi utakiri wewe ni Mungu

Uinuliwe milele
Baba uabudiwe milele
Yahweh uinuliwe milele
Baba uabudiwe milele

Yahweh uinuliwe milele
Baba uabudiwe milele
Yahweh uinuliwe milele
Baba uabudiwe milele

Yahweh uinuliwe milele
Baba uabudiwe milele
Yahweh uinuliwe milele
Baba uabudiwe milele

Watch Video

About Yahweh

Album : Yahweh
Release Year : 2015
Copyright : (c) 2020
Added By : Huntyr Kelx
Published : May 03 , 2020

More DENNO Lyrics

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl