Kuna Kichwa Lyrics by DANTEZ 254


Niko juu ya kilighter na kimbichwa
Morio unajigwesa kuwakisha
Mbogi inaongojea ka utapitisha
So rada safisha

Badder dan dem mambo kwisha
Mavo juu ya beat si unajua

Cheza ni kama unakuna kichwa
Uuu la la la la la la la 
Ka unapendaga mamtoto
Uuu wa wa wa wa wa wa

Cheza ni kama unakuna kichwa
Uuu la la la la la la la 
Ka unapendaga mamtoto
Uuu wa wa wa wa wa wa

[Exray]
Mangeus wakimuok
Ulalala ulalala
Kwani we hujui joke 
Ulalala ulalala

Asalam ale, niko matei tei
Ata kama ni tra 
Tuko na bae bae, unaeza kam le, le
Hata ka ni babe mmmh

Wagwaan badman bablican
Nataka hio nduru hata ka si firm
Ni laani ni caption na haikuwagi fan
Kuna kisplashing ka maddam
Bam bam chiki chiki bam bam
Beating naeza kuimbia mpaka riddim
Ting ting njiti tifi
There is a meeting in my bed, in my bed

Cheza ni kama unakuna kichwa
Uuu la la la la la la la 
Ka unapendaga mamtoto
Uuu wa wa wa wa wa wa

Cheza ni kama unakuna kichwa
Uuu la la la la la la la 
Ka unapendaga mamtoto
Uuu wa wa wa wa wa wa

Dantez mi boy odinare
Tukipatana kwa chuom usinihande
Jina kubwa ka hujui si usare
Msupa nitakujengea hadi palace

We ni mrembo unakulanga nkini gware
Ka unadai nitakufikisha Kitale
Roho tip usijali nina license
Ushaniteka walai ka afande

Cheza ni kama unakuna kichwa
Uuu la la la la la la la 
Ka unapendaga mamtoto
Uuu wa wa wa wa wa wa

Cheza ni kama unakuna kichwa
Uuu la la la la la la la 
Ka unapendaga mamtoto
Uuu wa wa wa wa wa wa

Nililelewa na ma wash and wear
I swear madush kuzimada na kiguto na ki fair
Makwela kuwakunywa design hauwezi compare
Si fair vile masoshi hunikwamilia

Ukimada tokens zitalia ti ti ti
Nina mandugu hapo Inda si Kamiti
Nilisema kabla fathela niandikwe kwa ofisi
Heri nikachorane matatu kwa mati

Si unikatikie eh eh eh
Nikuweke ndani ya ndege tusepepe
Kuja solo bila rende nde
Nikuspoil na usimee pembe mbe

Cheza ni kama unakuna kichwa
Uuu la la la la la la la 
Ka unapendaga mamtoto
Uuu wa wa wa wa wa wa

Cheza ni kama unakuna kichwa
Uuu la la la la la la la 
Ka unapendaga mamtoto
Uuu wa wa wa wa wa wa

We ni kachapati na ngwashe
Kwangu we ni porshe
Msupa aki woshe vyombo usizioshe
Inama nione ndani 

Usiambie jirani si unajua ni ya nani
Ye huniitaga Messi
Keja nina gesi si twende nizipashe
Kiss tu nikuwashe
Story usizitaje kwa bedi nikufuate
Tupigane mate
Yule fala mwache yako niko thirsty
Ka kisima na maji
Worldboss ndio maanake 
Alafu jo baade ni ka movie nde nde
Na ju ni usiku teren teren teren

(Mavo on the Beat ni kubata)

Watch Video

About Kuna Kichwa

Album : Kuna Kichwa (Single)
Release Year : 2021
Copyright : (c) 2021 Maliza Umasikini
Added By : Huntyr Kelx
Published : Feb 12 , 2021

More DANTEZ 254 Lyrics

DANTEZ 254
DANTEZ 254

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl