Jishushe Lyrics by CORNELIO STEPHANO


Oooh oooh oooh oooh...
Yeah 
Oooh...
Yeah yeah yeah
Oooh...oooh yeah

Watu wawili, walikwenda hekaluni
Mmoja farisayo na mtoza ushuru
Watu wawili, walikwenda hekaluni
Mmoja farisayo na mtoza ushuru

Yule farisayo aliomba hivi
Eeeh Mungu mimi si kama yule

Mi nafunga kwa juma mara mbili
Hutoa zaka katika mapato yangu
Mi nafunga kwa juma mara mbili
Hutoa zaka katika mapato yangu

Lakini yule mtoza ushuru
Alisimama mbali, akijipiga piga kifua 
Akisema eeh Mungu uniwie radhi 
Mimi mwenye dhambi

Lakini yule mtoza ushuru
Alisimama mbali, akijipigapa kifua 
Akisema eeh Mungu uniwie radhi 
Mimi mwenye dhambi

Yule mtoza ushuru 
Alienda nyumbani
Amehesabiwa haki 
Kwa kujishusha kwake

Yule mtoza ushuru 
Alienda nyumbani
Amehesabiwa haki 
Kwa kujishusha kwake

Unaeza ukadhani una haki
Wenzio wana dhambi kwenye ardhi
Utu unafichwa kwa vazi
Ukajikweza ukajiona uko safi 
Kumbe wapi?

Kinacho hitajika ni nafsi
Amani na umoja tuko sawa kila mmoja
Hatutofika ka tunabaguana bila uoga
Tushikamane hakuna aliye mkamilifu
Tenda mema ila usijisifu

Yeah, yeah yeah
Ooh ndugu nijishushe 
Mbele za Mungu
Akuongoze kwa wakati wake 
Jishushe, jishushe

Ooh ndugu nijishushe 
Mbele za Mungu
Akuongoze kwa wakati wake 
Jishushe, jishushe

Ooh ndugu nijishushe 
Mbele za Mungu
Akuongoze kwa wakati wake 
Jishushe, jishushe

Eeeh yeah
Bwana anakuona wewe
Na moyo wako(Moyo wako)
Ibada yako(Ibada yako)
Mbele zake(Mbele zake)

Bwana anakuona wewe
Ukweli wako(Ukweliwako)
Na sadaka zake(Na sadaka zake)
Mbele zake(Mbele zake)

Oooh oooh...
Bwana anakuona
Oooh oooh...iyeee!

Watch Video

About Jishushe

Album : Jishushe
Release Year : 2019
Copyright : All rights to the owner.
Added By : Huntyr Kelx
Published : May 09 , 2019

More CORNELIO STEPHANO Lyrics

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl