CONBOI About Me  cover image

About Me Lyrics

About Me Lyrics by CONBOI


Straight to the point to tha !
Straight to the point to the point no faking huh!
Straight to the Okay ! no faking
Take it ! yeah ! look!

Straight to the point to the point no faking
Never regret steps im taking
Utaniona chizi about risks im always taken
Break them rues some rules were meant for breaking
Yeah street life we born with it
Hatujui kuomba tukihitaji we go and get it
Hivyo ndivyo we learned ain't no kidding
Real cold hearted niggas with no feelings

Tunachoamini the main focus is to stay focus
Nishapuyanga kinoma nusu niwe fucking hopeless
Katikati ya jiji bila ya msaada
Grew up in this bitch without my father
Kwa mama ilikuwa shida so ikabidi tuu
Hata secondary sikufika mi nika quit school
Ndugu waliona tumesha fail

Baada ya mirathi hata sisi tukaona kweli
Yeah I was young wakihisi mi ni fool
Kwa kuwa nilikuwa mtoto peke yangu wakadhani it was cool
Wajomba walieuka kuwa matapeli
Ili mambo yao yakae tuu kwenye rail
Listen Umri unakwenda nishakariri now
Still remeniscing on them days I was really down
Kitu kimoja sintosahau
I told my mama ipo siku tutasahau

Said that we never gonna make it
Only GOD knows how we made it
Wengine binadamu kama mimi
So I ain't gotta worry about shit

Said that we never gonna make it
Only GOD knows how we made it
Wengine binadamu kama mimi
Dont give a fuck if you talk shit about me

Bout me! Bout me! Bout me!
I do this for my mama whatchu talking bout me
I dont even know how to rest round hii
Fuck you haters whatchu talking bout me

Look huh! Kitu Pekee unapaswa ukitambue
Maisha yalikuwa magumu nilitaka tujikwamue
Na hakuna maisha ya haraka lazima ukamue
Tofauti ya pale ulipo cha kwanza inabidi ukuwe
Huh! na ukuwaji nnaosema ni tofauti ya age
Ni zaidi ya kitabu with alotta pages
Kufika ni lazima upitie stages
Gotta let your vision be outragious

Inspiration is gettin hard to fake it
Concentration is never hard to break it
Kama ingekuwa ni uoga tungehisi tumesharogwa 
Maana maisha tulioyaona is so hard to make it
Ilifikia wakati tukaona kama ni mzaha
Maisha yalichange ma' hakujua ingeweza happened like that
Alikosa usemi at the moment alikuwa ameduwaa
Shida nyingi nusu kukata tamaa we say Alhamdulillah

Tunashukuru mungu coz sasa imekuwa tofauti
Mwanzo yalikuwa machungu tulitamani hata umauti
Teana ile time tuliyotengwa na familia
Hakukuwa na mtu yoyote wa kutusaidia
Umri unakwenda nishakariri now
Still remeniscing on them days i was really down
Kitu kimoja sintosahau
Kipindi kile wale wote waliotudharau shit!

Said that we never gonna make it
Only GOD knows how we made it
Wengine binadamu kama mimi
So I ain't gotta worry about shit

Said that we never gonna make it
Only GOD knows how we made it
Wengine binadamu kama mimi
Dont give a fuck if you talk shit about me

Bout me! Bout me! Bout me!
I do this for my mama whatchu talking bout me
I dont even know how to rest round hii
Fuck you haters whatchu talking bout me

Bout me! Bout me! Bout me!
I do this for my mama whatchu talking bout me
I dont even know how to rest round hii
Fuck you haters whatchu talking bout me

Watch Video

About About Me

Album : True Story (Album)
Release Year : 2022
Copyright : (c) 2022
Added By : Huntyr Kelx
Published : Jan 07 , 2022

More CONBOI Lyrics

CONBOI
CONBOI

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl