Teta Nao Lyrics by CHRISTINA SHUSHO


Ee Bwana utete nao wanaoteta nami
Upigane nao wanaopigana nami
Ee Bwana utete nao wanaoteta nami
Upigane nao wanaopigana nami

Uishike ngao na kigao usimame unisaidie
Uutoe mkuki uwapige ooh wanaonifuatia
Uwaambie nafsi yangu mimi ni wokovu wako
Uutoe mkuki uwapige ooh wanaonifuatia
Uwaambie nafsi yangu mimi ni wokovu wako

Wananiuliza mambo nisiyoyajua
Ee bwana utete nao wanaoteta nami (Bwana pigana nao)
Upigane nao(pigana nao) 
Wanaopigana nami (naomba wee nitetee) 
Ee bwana utete nao (nitetee)
Wanaoteta nami(Baba nitetee) 
Upigane nao (pigana nao)wanaopigana nami

Waaibishwe, wafedheheshwe
Warudishwe nyuma wanaotafuta nafsi yangu
Wafadhaishwe, wawe kama makapi
Mbele ya upepo
Malaika wa bwana waangushe chini

Wananilipa mabaya, badala ya mema
Kutwa kucha waniwinda, ili niteseke
Kiganjani mwako niweke (ee Mungu wangu)
Ubavuni mwako nikumbatie (Jehova wangu)
Mikononi mwako uniweke (ee Mungu wangu)
Ubafuni mwako nikumbatie (Jehova wangu)
Eehh

Ee bwana utete nao wanaoteta nami (Bwana pigana nao)
Upigane nao(pigana nao) 
Wanaopigana nami (naomba wee nitetee) 
Ee bwana utete nao (nitetee)
Wanaoteta nami(Baba nitetee) 
Upigane nao (pigana nao)wanaopigana nami

Njia yao iwe giza na utelezi
Malaika wa Bwana, akiwafuatia
Uharibifu wapate kwa ghafla
Waharibifu waanguke ndani yake
Mimi bure wasinisimange, bure wasinigonge

Na wovu wao aloficha wamnase mwenyewe,
Ila sababu wamenichimbia shimo la hasira
Mifupa yangu, wataitazama, Bwana ni nani
Aliye kama wewe na nafsi yangu, itamfurahia Bwana

Wapendeza Bwana wapendeza, ee Bwana wapendeza
Katika hili najua utatenda aah
Nitetee Bwana nitetee, ee bwana nitetee
Katika hili najua utatenda aah

Wapendeza Bwana wapendeza, ee Bwana wapendeza
Katika hili najua utatenda aah
Nitetee Bwana nitetee, ee bwana nitetee
Katika hili najua utatenda aah

Wapendeza Bwana wapendeza, ee Bwana wapendeza
Katika hili najua utatenda aah
Nitetee Bwana nitetee, ee bwana nitetee
Katika hili najua utatenda aah

Watch Video

About Teta Nao

Album : Teta Nao (Single)
Release Year : 2021
Copyright : (c) 2021
Added By : Huntyr Kelx
Published : Nov 03 , 2021

More CHRISTINA SHUSHO Lyrics

CHRISTINA SHUSHO
CHRISTINA SHUSHO
CHRISTINA SHUSHO
CHRISTINA SHUSHO

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl