Binadamu Lyrics by CHRISTIAN BELLA


CBO baba ooh
Mama haya dunia yana mambo mengi
Utakuta unapenda kuishi na binadamu
Lakini kila siku wanakugeukia eeh
Usijali hawa ndio binadamu

Wakikukwepa kuna siku watakutafuta
Wakikusengenye nyamaza watajifunza
Wakikudharau ipo siku watakusifia
Ni kawaida yao, kawaida yao
Tenda wema nenda zako usingoje shukurani
--
--

Ona binadamu wabaya, wabaya wabaya
Ubinadamu ni kazi, wabaya wabaya
Watu wa dunia wabaya, wabaya wabaya
Ooh no no wabaya wabaya...

Dunia sisi ni binadamu tunapita, tunapitra
Dunia ya Mola, tenda mema
Unajiwekea akiba kwa Mungu Baba
Amini raia dunia itapita

Mungu akikujali usidharau wenzio
Ukipata kidogo saidia wasiojiweza
Tenda mema duniani usingoje shukurani
Kuna binadamu ni wa ajabu sana
Hawapendi kuona maendeleo ya wengine

Watakuchekea usoni
Ukiwapa kisogo wanakumaliza kabisa
Hawana maana
Watakufuata kama unacho
Ukikosa kabisa wanakumaliza kabisa
Ni binadamu

Mwenzako akipata usinune
Fanya na wewe ujitume
Chuki hawezi kuwa mfalme
Ndo maana lima kesho uvune
--
--

Mwenzako akipata usinune
Fanya na wewe ujitume
Chuki hawezi kuwa mfalme
Ndo maana lima kesho uvune

Watch Video

About Binadamu

Album : CBO 5G (Album)
Release Year : 2020
Copyright : (c) 2020
Added By : Huntyr Kelx
Published : Nov 22 , 2020

More lyrics from CBO 5G album

More CHRISTIAN BELLA Lyrics

CHRISTIAN BELLA
CHRISTIAN BELLA
CHRISTIAN BELLA
CHRISTIAN BELLA

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl