BUGANGA Upepo wa Kisuli Suli cover image

Upepo wa Kisuli Suli Lyrics

Upepo wa Kisuli Suli Lyrics by BUGANGA


Nimeletwa na upepo, upepo wa kisulisuli
Nimeletwa na upepo, upepo wa kisulisuli
Nimeletwa na upepo, upepo wa kisulisuli
Nimeletwa na upepo, upepo wa kisulisuli

Dada mimi ndio nimefika
Maombi yako yamejibiwa
Si unaona nguvu ya upepo
Imenileta mpaka ulipo

Usinikatae bwana
Kwani hutaki kuolewa
Hata mimi sikupenda 
Nimepeperushwa tu nikaletwa

Sijakutuma ukaombewe
Ni lazima unikubalie
Hata mimi sikupendi
Ndio sasa sina jinsi 

Nimeletwa na upepo, upepo wa kisulisuli
Nimeletwa na upepo, upepo wa kisulisuli
Nimeletwa na upepo, upepo wa kisulisuli
Nimeletwa na upepo, upepo wa kisulisuli

Upepo una nguvu sana
Umenifikisha bila kupenda
Lakini si sawa bwana
Hebu nipatie namba

Ninajua umeombewa
Sio mpaka nikupe hela
Habati unaichezea
Kubali bila kuchelewa

Sijakutuma ukaombewe
Ni lazima unikubalie
Hata mimi sikupendi
Ndio sasa sina jinsi 

Nimeletwa na upepo, upepo wa kisulisuli
Nimeletwa na upepo, upepo wa kisulisuli
Nimeletwa na upepo, upepo wa kisulisuli
Nimeletwa na upepo, upepo wa kisulisuli

Watch Video

About Upepo wa Kisuli Suli

Album : Upepo wa Kisuli Suli (Single)
Release Year : 2019
Copyright : (c) 2019 Lyuta Inc.
Added By : Huntyr Kelx
Published : Nov 14 , 2019

More BUGANGA Lyrics

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl