BROWN MAUZO Hakuna Kulala cover image

Hakuna Kulala Lyrics

Hakuna Kulala Lyrics by BROWN MAUZO


Mwenye uroho, mwenye uroho baby
Jua Ukizingua utanichoma
Take it slow, take it slow baby
Unajua kunyembua nishakusoma

We ndo mmoja tu sukari
Tukiwa wawili gizani
We ndo mmoja tu sukari
Tukiwa wawili gizani

Yamenifika maji yapo kwa shingo
Vurugu umenishika mangoma mdundiko
Sioni noma nikikuwanga ata bingwa
Funga kibindo, ooh beiby

Hakuna kulala, aha
Kesha na utamu wa banana
All night, tukipambana
We ndio unaniwezaga, beiby 

Hakuna kulala, aha
Kesha na utamu wa banana
All night, tukipambana
Me ndio unaniwezaga

Sema twendelee
Mbele kwa mbele
Ngoma inogere
Again, again, again

Oooh yeah
I hear your body calling now
(ah Naiboi)
I wanna give you something

Ah muda sasa ndo umefika
Kiuno iondoe sister
Ndio nikupe kadhalika(iyee)
Usiku waniita

I like the way you lick your lips
Touching me with your finger tips
Your goodie foodie ni tamu
Ovacado ndani ya kachumbari

Unitasti, me sitakuwasti
We ndo wangu kasi kasi, yeah
Tena sina brekii

Hakuna kulala, aha
Kesha na utamu wa banana
All night, tukipambana
We ndio unaniwezaga, beiby 

Hakuna kulala, aha
Kesha na utamu wa banana
All night, tukipambana
Me ndio unaniwezaga

Unitasti, me sitakuwasti
We ndo wangu kasi kasi
Tena sina brekii

Sema twendelee
Mbele kwa mbele
Ngoma inogere
Again, again, again

Hakuna kulala, aha
Kesha na utamu wa banana
All night, tukipambana
We ndio unaniwezaga, beiby 

Hakuna kulala, aha
Kesha na utamu wa banana
All night, tukipambana
Me ndio unaniwezaga

Watch Video

About Hakuna Kulala

Album : Hakuna Kulala (Single)
Release Year : 2019
Copyright : All rights to the owner
Added By : Huntyr Kelx
Published : Apr 02 , 2019

More BROWN MAUZO Lyrics

BROWN MAUZO
BROWN MAUZO
BROWN MAUZO

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl