BRIAN FEEL Kokoriko cover image

Kokoriko Lyrics

Kokoriko Lyrics by BRIAN FEEL


Oh sweetty i understand
Oh standi standi
I stand up for you
Iwe kwa bed ama kwenye kiti kiti
Wapi tufanye kwighikwichi
Ivory pipi ya kijiti, sio mkongo
Ah nifunge zipu mama albadiri
Zisome tukeshe fofofo
Timbwili ghumbani bangili, aai tumbula naikula ya moto
Mpenzibangu nibangulie eeh eeh eeh
Nainyongota, nakunakulala eh eh eh Naisokota
Mpenzibangu nibangulie eh eh he
Nainyongota, nakunakulala
Yaani mpaka majocoo
Kokoriko kokoriko
Naizamisha chemba kwa chemba ooh yaani kokoriko
Ooh yeah kokoriko
Naizamisha chemba kwa chemba

Chumvini nauzamisha muhogo, tena jangombe
Ooh babe unaliona halifichiki, pembe la ngombe
Uantaka mbuzi kagoma kwenda
Bichi kidimbwi kama ghura
Kifo cha mende mpiga kura, wima wima
Au utanipa timbwili la vera na huddah
Vipi niokotee mpira
Wanafiki watoke bila bila, tuwazomee
Mpenzibangu nibangulie eeh eeh eeh
Nainyongota, nakunakulala eh eh eh Naisokota
Mpenzibangu nibangulie eh eh he
Nainyongota, nakunakulala
Yaani mpaka majocoo
Kokoriko kokoriko
Naizamisha chemba kwa chemba ooh yaani kokoriko
Ooh yeah kokoriko
Naizamisha chemba kwa chemba

Basi fanya ni kama unaichumaa
Unaichumaa, baby Unaichumaa my baby boo
Basi fanya ni kama unaichumaa
Unaichumaa, baby my baby boo
Kokoriko, kokoriko
Naizamisha chemba kwa chemba ooh yaani kokoriko
Ooh yeah kokoriko
Naizamisha chemba kwa chemba

Watch Video

About Kokoriko

Album : Kokoriko (Single)
Release Year : 2021
Added By : Farida
Published : Jul 22 , 2021

More BRIAN FEEL Lyrics

BRIAN FEEL

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl