Noma Lyrics by BONGE LA NYAU


Nyauloso once again
Mapanch tenaa

Yaani kwenye maisha
Utakiwi kua na stress
Leo ukikosa kesho utapatana na we
Bado una nafasi imewekwa for you
Tengeneza nafasi imewekwa for you

Rohoo, kwenye maisha kaza roho
Usichoke kaza roho oh
Nawe utapata kaza roho oh
Roho oh, roho oh

Bei ghali, ooh bei ghali
Na kila kitu kinakuwa bei ghali
Bei ghali, ooh bei ghali
Jipandishe na wewe bei ghali

Maisha noma noma, kinoma noma 
Maisha noma noma, kinoma noma
Hii life noma noma, kinoma noma 
Maisha noma noma, kinoma noma  

Kuna mwingine anahonga grace
Kaza moyo nawe God atabless
Haya maisha mwombe Jah atabless
Na vile tunaishi peace no case

Upo kitandani kusimama huwezi
Basi mwombe Mungu atakuwa nawe aah
Gerezani umebambiwa kesi
Mwache Mungu Baba atakuwa nawe aah

Rohoo, kwenye maisha kaza roho
Usichoke kaza roho oh
Nawe utapata kaza roho oh
Roho oh, roho oh

Bei ghali, ooh bei ghali
Na kila kitu kinakuwa bei ghali
Bei ghali, ooh bei ghali
Jipandishe na wewe bei ghali

Maisha noma noma, kinoma noma 
Maisha noma noma, kinoma noma
Hii life noma noma, kinoma noma 
Maisha noma noma, kinoma noma  

Hata uwe na magari pesa nyumba
Hata uwe mbabe shinda Weather
Hata uwe na kiwanda cha mafedha
Hata uwe na akili zaidi ya professor

Usipokuwa na upendo wa dhati noma
Tusiishi kwa kulipana visasi noma

Rohoo, kwenye maisha kaza roho
Usichoke kaza roho oh
Nawe utapata kaza roho oh
Roho oh, roho oh

Bei ghali, ooh bei ghali
Na kila kitu kinakuwa bei ghali
Bei ghali, ooh bei ghali
Jipandishe na wewe bei ghali

Noma noma, kinoma noma 
Maisha noma noma, kinoma noma
Hii life noma noma, kinoma noma 
Maisha noma noma, kinoma noma  

Watch Video

About Noma

Album : Noma (Single)
Release Year : 2020
Copyright : (c) 2020
Added By : Huntyr Kelx
Published : Dec 10 , 2020

More BONGE LA NYAU Lyrics

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl