Nani Kama Wewe Bwana Lyrics
Nani Kama Wewe Bwana Lyrics by BOAZ DANKEN
Nani kama wewe Bwana
Nani kama wewe
Asante roho wa Bwana
Tuulize milima inatetemeka kwa nani?
Kama sio wewe Mungu wetu
Tuulize bahari inamheshimu nani?
Kama sio wewe Mungu wetu
Wanyama wa kutisha wanamuabudu nani
Kama sio wewe Mungu wetu
Hivi ni nani kama wewe Bwana, kama wewe Bwana
Nani kama wewe Bwana Mungu wetu
Nani kama wewe Bwana, kama wewe Bwana
Nani kama wewe Bwana Mungu wetu
Nani kama wewe Bwana, kama wewe Bwana
Nani kama wewe Bwana Mungu wetu
Bahari ya shamu aliipasua nani?
Kama sio wewe Mungu wetu
Kuta za Jericho aliziangusha nani?
Kama sio wewe Mungu wetu
Agusaye mioyo yetu, kwa mguso wa ajabu
Kama sio wewe Mungu wetu
Sasa ni nani kama wewe, kama wewe Bwana
Nani kama wewe Bwana
Nani kama wewe Bwana, kama wewe Bwana
Nani kama wewe Bwana Mungu wetu
Nani kama wewe Bwana, kama wewe Bwana
Nani kama wewe Bwana Mungu wetu
Nani kama wewe Bwana, kama wewe Bwana
Nani kama wewe Bwana Mungu wetu
Nani kama wewe Bwana, kama wewe Bwana
Nani kama wewe Bwana Mungu wetu
Hakuna kama wewe Bwana, kama wewe Bwana
Hakuna kama wewe Bwana, Mungu wetu
Wewe ni Baba, uabudiwe
Hakuna kama wewe, wewe, wewe Baba
Hakuna kama wewe Bwana, kama wewe Bwana
Hakuna kama wewe Bwana, Mungu wetu
Hakuna kama wewe Bwana, kama wewe Bwana
Hakuna kama wewe Bwana, Mungu wetu
Hakuna kama wewe Bwana, kama wewe Bwana
Hakuna kama wewe Bwana, Mungu wetu
Hakuna kama wewe Bwana, kama wewe Bwana
Hakuna kama wewe Bwana, Mungu wetu
Watch Video
About Nani Kama Wewe Bwana
More BOAZ DANKEN Lyrics
Comments ( 0 )
No Comment yet
Get Afrika Lyrics Mobile App
About AfrikaLyrics
Follow Afrika Lyrics
© 2025, We Tell Africa Group Sarl