Haga ya Karao Lyrics by BENZEMA


Mama amejibeba kama mbaru
Akiinamaga lawama toja inararu
Nikikuitisha utasema ni madharau
But siwezi nunua mzinga ka bado sijaonja nyau
Ziii!!!

Na inakaa bei yake iko juu
Wengine huniita Scar ye tu ndo huniita kovu
Nikiilola nabaki nimediste
Hii ni mali nikigonga lazima nitaambia mabeshte

Wasichana wa Kisumu nawamarinate
Wa Nakuru hawapendi ndoa wanamarinate
Nairobi ni sumu imejaza malele
Wa Mombasa si wagumu unaenda holiday

Baby una haga ya karao
Uliniwow ukakilola ooh
Baby una haga ya karao
Uliniwow ukakilola ooh

So haga ni poa dem toka 
Naks mi nasema drop it lower
Rada rada chafu I'm a dog bila collar
Fika na form polisi mi naondoka
Hapa ni moto manguo ye anatoa

Na vibe iko juu haga ni beautiful
Price iko juu take over ka ni ya coup
Mimi am just a goon , maliza na atadu
She shake your body for real
Me I fit pia in them shoes

Na imagine uko naked kwa macho
Na stretchmarks 30 kwa tako
Na thong oversize ni mbao
Hulk Horgan nirarue hadi trao

Shida ni moja
Alenjandro ni mmoja mtaongoja
Shida ni moja
Alenjandro ni mmoja mtaongoja

Baby una haga ya karao
Uliniwow ukakilola ooh
Baby una haga ya karao
Uliniwow ukakilola ooh

Baby una haga ya karao
Uliniwow ukakilola ooh
Baby una haga ya karao
Uliniwow ukakilola ooh

Haga ya karao, haga ya karao
Haga ya karao, haga ya karao
Haga ya karao, haga ya karao

Watch Video

About Haga ya Karao

Album : Haga ya Karao (Single)
Release Year : 2021
Copyright : (c) 2021
Added By : Huntyr Kelx
Published : Apr 02 , 2021

More BENZEMA Lyrics

BENZEMA
BENZEMA

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl