Sawa Sawa Lyrics by BENDI HURU


Hey baby we umeniwasha fire
Coz lately tabia zako hazina haya
We mpenzi usinifanye mi wako fala
Usinipandishe hasira bana weee

Wee hiyo desire, penzi nayuko
Kila mara ugomvi na fujo
Wee hiyo desire, penzi nayuko
Kila mara ugomvi na fujo

Sawa sawa sawa sawa
Sawa sawa sawa sawa
Kama hunipendi baby

Sawa sawa sawa sawa
Sawa sawa sawa sawa
Kama hunipendi baby

Hunipendi, huni
Hunipendi ooh, huni
Hunipendi, hunipendi
Hunipendi, huni
Hunipendi ooh, huni
Hunipendi, hunipendi

Wacha vitisho you can pack your things and go
Hapana leta maringo mapenzi yangu si ya doh
Na kila napouliza mdomo we unapiga....

Wee hiyo desire, penzi nayuko
Kila mara ugomvi na fujo
Wee hiyo desire, penzi nayuko
Kila mara ugomvi na fujo

Sawa sawa sawa sawa
Sawa sawa sawa sawa
Kama hunipendi baby

Sawa sawa sawa sawa
Sawa sawa sawa sawa
Kama hunipendi baby

Hunipendi, huni
Hunipendi ooh, huni
Hunipendi, hunipendi
Hunipendi, huni
Hunipendi ooh, huni
Hunipendi, hunipendi

Nilikuwa nimezama kwa mambo ya mapenzi
Na bado mlango nabisha
Nilikuwa nimezama kwa mambo ya mapenzi
Na bado mlango nabisha

---
Kamba language
----

Sawa sawa sawa sawa
Sawa sawa sawa sawa
Kama hunipendi baby

Sawa sawa sawa sawa
Sawa sawa sawa sawa
Kama hunipendi baby

Hunipendi, huni
Hunipendi ooh, huni
Hunipendi, hunipendi
Hunipendi, huni
Hunipendi ooh, huni
Hunipendi, hunipendi

Watch Video

About Sawa Sawa

Album : Manjano (The Yellow Tape) (Album)
Release Year : 2022
Copyright : (c) 2022
Added By : Huntyr Kelx
Published : Feb 16 , 2022

More BENDI HURU Lyrics

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl