Tawala Lyrics by BEN CYCO


Ni Cyco na Laura

Bwana we ni dereva 
Endesha na maisha yangu
Chukua na usukani
Bwana tawala

Bwana we ni mchungaji
Ongoza mwana wako
Nishikilie mkono 
Bwana tawala

Wewe ni amani ya moyo wangu
Chaguo la moyo wangu
Wewe ni kila kitu changu
Wewe ni amani ya moyo wangu
Chaguo la moyo wangu
Wewe ni kila kitu changu

Wewe ni kila kitu changu
Wewe ni kila kitu changu
Wewe ni kila kitu changu
Wewe ni kila kitu changu

Gusa, gusa baba ee
Gusa yote yanayonihusu
Tenda, tenda baba eeh
Makuu na miujiza

Jionyeshe Mungu
Ukitenda unatenda maradufu
Pendo lako kamili sio nusu
Bwana ee bwana, unafanya mema

Ukitenda unatenda maradufu
Pendo lako kamili sio nusu
Bwana ee bwana, unafanya mema

Wewe ni amani ya moyo wangu
Chaguo la moyo wangu
Wewe ni kila kitu changu
Wewe ni amani ya moyo wangu
Chaguo la moyo wangu
Wewe ni kila kitu changu

Wewe ni kila kitu changu
Wewe ni kila kitu changu
Wewe ni kila kitu changu
Wewe ni kila kitu changu

Maisha yangu, kazi yangu
Familia yangu, Bwana tawala
Ndoto yangu, afya yangu
Ndoa yangu, Bwana tawala

Wewe ni amani ya moyo wangu
Chaguo la moyo wangu
Wewe ni kila kitu changu
Wewe ni amani ya moyo wangu
Chaguo la moyo wangu
Wewe ni kila kitu changu

Wewe ni kila kitu changu
Wewe ni kila kitu changu
Wewe ni kila kitu changu
Wewe ni kila kitu changu

 

Watch Video

About Tawala

Album : Tawala (Single)
Release Year : 2021
Copyright : (c) 2021
Added By : Huntyr Kelx
Published : Mar 24 , 2021

More BEN CYCO Lyrics

BEN CYCO
BEN CYCO
BEN CYCO

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl