Mzuri Lyrics by BARNABA


Uuuh! ai mama Jamani mbona we mzuri hivyo
Uuuh! ai mama unavyoringa sasa sio shida zako hizo
Uuuh! ai mama Jamani mbona we mzuri hivyo
Uuuh! ai mama nakusifia ringa vimba kichwa ka pulizo
Ukicheka mzuri mzuri
Ukinuna mzuri mzuri
Ukiringa mzuri mzuri
Ata ukilia mzuri ni mzuri tu

Rangi ya chungwa mama chocolate viuno tanga manzabay
Lakipitlosi mama ona nywele shombe shombe Zanzibari chei chei
Umejaliwa nyama na huo mguu Aki Mungu hakosei
Mpaka nikuoe ndo ntafanya usiwe na wasi mama wala mi sikuchezei
Najionea wivu kukupata my boo, tabibu dozi nipe taratibu

Uuuh! ai mama Jamani mbona we mzuri hivyo
Uuuh! ai mama nakusifia ringa vimba kichwa ka pulizo
Ukicheka mzuri mzuri
Ukinuna mzuri mzuri
Ukiringa mzuri mzuri
Ata ukilia mzuri ni mzuri tu

Usuke sangitaa unapendeza hana haraka mtoto mwendo wa pweza
Yake mahaba ndio kaniweza kama chakula sahani ya pili naongeza
Walahi kwake naona nyota nyota tu si kwa mahaba unayonipa boo
Na huu wangu wivu utanikuta yasiyo niombeeni nipone
Ananivuruga pale anaponiuliza vipi uhakika mopao unajionaje
Namjibu niko sawa kisha namwambia nipigie video call
Najionea wivu kukupata we my boo, tabibu, dozi nipe taratibu

Uuuh! ai mama Jamani mbona we mzuri hivyo
Uuuh! ai mama nakusifia ringa vimba kichwa ka pulizo
Ukicheka mzuri mzuri
Ukinuna mzuri mzuri
Ukiringa mzuri mzuri
Ata ukilia mzuri ni mzuri tu

Ule kimini chuna tototo unafanya nishindwe kutoto
Umetakata uko sososo unawatesa cheki tototo
Mara uko nyonyo uko titi ata Saraphina anajua hushikiki
Eh! Serious nimempenda nasema na simuachi ah

Watch Video

About Mzuri

Album : Love Sounds Different (Album)
Release Year : 2022
Copyright : ©2022 Ziiki Media (PTY) & Barnaba.All rights reserved.
Added By : Farida
Published : Aug 24 , 2022

More BARNABA Lyrics

BARNABA
BARNABA
BARNABA

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl