Ndoto Lyrics by BAHATI


Mmmh Mbogi Genje
Mbogi genje, niko genje
Bahati...

(EMB Records)

Skiza, ni mbali nimetoka
Mawazo stress lini nitaomoka
I've seen my friends die everyday ey
Because of crime I loose my day eeh

[Guzman]
Guzuu..
Nikirise kwa ftiach ya mroko
Alini-guide nakukashifu usoro
Ady bonoko tulikashi na mnoko
Tukitapo mamkish maorosho
Never forget sheito alikua angel 
Ukimdiss anakuviet na attention
Alitekeswa kipaji na underration
Na ukimkashif anajua ye ni devil
Ka riang'a siinzagi kwa mongo
Ka riang'a siinzagi kwa mongo

[Chorus: Bahati]
Ebu cheki nimetoka mbali
Ni kama ndoto
Ebu cheki naenda mbali
Ni kama ndoto
Ebu cheki nimetoka mbali
Ni kama ndoto
Ebu cheki naenda mbali
Ni kama ndoto

Mi nina ndoto nitoke kwa mtaa
Niwe sonko mami-ii
Niwache crime niuze na bidhaa
Kabiashara nani-ii

Mi nina ndoto ya kukuwa star
Internationally-ii
Nirudi home nibadilishe mtaa
Kwetu Mathare nani-ii

[Smady Tings]
Livity nimepitia ni ordeal 
Na ndo maana youth wanasuffer nawafeel
Na ndo maana, daila mi natry kukeep it real 
Siku mingi wamejaribu kuni-derail
Mbogi ndo mi nawavutishanga line 
Walibaki nikachorea ku force line 
Ju design nilikuwa sawa ni kama ni lime
Nikihope some day vitu zitakuwa fine

Hustle noma lakini sijajipin
Ju bidii ndio kitu ilinitoa kwa scene
Walijudge hawakumezea nimebeba dream
Na siwezi loose life ndo nipandisie king

[Chorus: Bahati]
Ebu cheki nimetoka mbali
Ni kama ndoto
Ebu cheki naenda mbali
Ni kama ndoto
Ebu cheki nimetoka mbali
Ni kama ndoto
Ebu cheki naenda mbali
Ni kama ndoto

[Militan]
Wholla jai rengwa zote ni kirao (Ni kirao)
Janta some kabla nijichape mboka
Ghetto youth kila gota ni kujuggle
Hawadai maghetto youth wagonye dibra
Daila ni kufruss wakiturianyu
Jahjahre nauwo tunazied gwatha

Lutu amasung sirudi manyu
Nimeviex vile rima kumeidra
Sina riang kama daila niko furda
Med zole zinaitisha surba
Ju nadai zinibebe kama ubra
Ju nadai zinibebe kama ubra

[Bahati]
Mi nina ndoto nitatoka chini
Nina ndoto mtoto wa masikini
Nina ndoto nitaenda far
Nicheze ligi ya mabingwa kama Wanyama

[Chorus: Bahati]
Ebu cheki nimetoka mbali
Ni kama ndoto
Ebu cheki naenda mbali
Ni kama ndoto
Ebu cheki nimetoka mbali
Ni kama ndoto
Ebu cheki naenda mbali
Ni kama ndoto

[Outro]
Watu wangu wa ghetto
Watu wangu wa ghetto
Mathare mashimoni
Huruma vibandani

Watu wangu wa ghetto
Watu wangu wa ghetto
Eastlando yoh yoh 
Msifu moyo yoh yoh yoh 

 

Watch Video

About Ndoto

Album : Ndoto (Single)
Release Year : 2020
Copyright : (c) 2020
Added By : Huntyr Kelx
Published : Oct 01 , 2020

More BAHATI Lyrics

BAHATI
BAHATI
BAHATI

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl