Wala Lyrics by B2K MNYAMA


Zile route za nenda rudi uliona ka utani
Kumbe unafanya makusudi kuangalia pembeni
Zawadi zangu eti nigawe nitoe za kantani
Na zile hodi hodi za mini zinakutoa mudini

Elewa sina tunza mia mia za kuuza karanga
Niwe mwashi nashindwa kukudanganya na bonge la nyumba
Elewa sina tunza mia mia za kuuza karanga
Niwe mwashi nashindwa kukudanganya na bonge la nyumba

Wala najua hata hatuendani
Wala nawakilisha moyoni
Wala najua hata hatuendani
Wala nawakilisha moyoni

Njoo nikuonyeshe na kazi yangu, nahisi utatulia
Uyachunguze maneno yangu maana utanielewa 
Uniongeze furaha isiwe utani (Aaah aaah)
Pengine itageuka uwe wangu hunny (Aaah aaah)

Elewa sina tunza mia mia za kuuza karanga
Niwe mwashi nashindwa kukudanganya na bonge la nyumba
Elewa sina tunza mia mia za kuuza karanga
Niwe mwashi nashindwa kukudanganya na bonge la nyumba

Wala najua hata hatuendani
Wala nawakilisha moyoni
Wala najua hata hatuendani
Wala nawakilisha moyoni

Watch Video

About Wala

Album : Wala
Release Year : 2020
Copyright : (c) 2020
Added By : Huntyr Kelx
Published : Mar 26 , 2020

More B2K MNYAMA Lyrics

B2K MNYAMA
B2K MNYAMA
B2K MNYAMA
B2K MNYAMA

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl