Lakini Lyrics by B2K MNYAMA


Aah nimejaliwa moyo sijui upo je
Unapendaga kote sijui ikoje
Niwe muwazi nisijeficha
Kweli mimi home mwenzio

Na kama umependwa sema
Ukweli unajenga mapema
Niwe miwazi nisijefika 
Wakati we unabaki na funguo

Ili nizugezuge nikiwaona
Nijifiche fiche kwenye kona
Mi fisi nikifosi nyama
Nitapaliwa

Ila ndo ujichunge sana
Nisione unachofanya
Nikiona unachofanya 
Nitaumia aah aah

Lakini sijui nipoje nitoe moyo
Niutupe huko
Na mimii ila macho yanabakia
Nayo bado vituko

Lakini sijui nipoje nitoe moyo
Niutupe huko
Na mimii ila macho yanabakia
Nayo bado vituko

Ila moyo koma kuhangaika
Kumbe nyumbani wanaboreka
Hata mtaani wananicheka
Sijui nipoje

Kule nlisema I love you
Na huku I love you
Shikamoo mapenzi una hisia ngapi
Vile nilipenda kule Na huku nimependa

Ili nizugezuge nikiwaona
Nijifiche fiche kwenye kona
Mi fisi nikifosi nyama
Nitapaliwa

Ila ndo ujichunge sana
Nisione unachofanya
Nikiona unachofanya 
Nitaumia aah aah

Lakini sijui nipoje nitoe moyo
Niutupe huko
Na mimii ila macho yanabakia
Nayo bado vituko

Lakini sijui nipoje nitoe moyo
Niutupe huko
Na mimii ila macho yanabakia
Nayo bado vituko

Watch Video

About Lakini

Album : Lakini (Single)
Release Year : 2020
Copyright : (c) 2020
Added By : Huntyr Kelx
Published : May 11 , 2020

More B2K MNYAMA Lyrics

B2K MNYAMA
B2K MNYAMA
B2K MNYAMA
B2K MNYAMA

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl