Corona Lyrics by B2K MNYAMA


Oooh aah, oooh
(Naroh)

Yarabi, tuombee
Utuepushe na magonjwa haya
Kuna janga linaitwa Corona
Mwanzo wake huko China

Tujihadhari sana 
Maana Tanzania lishafika
Linasambaa kwa kushikana mikono
Naomba kidogo nitoe somo
Kikohozi mafua dalili nazo 
Na gonjwa linasambaa humo humo

Kwa kubanana banana
Salamu tulizozoea ni kupeana mikono
Ili ujiweke salama epuka salamu 
Za kupeana mikono

Corona, uwe kijana 
Kemea Corona, jikinge na Corona
Baba mama
Kemea Corona, jikinge na Corona

Manesi na madoctor
Kemea Corona, jikinge na Corona
Watu wote
Kemea Corona, jikinge na Corona

Haichagui kijana mzee, usafi uzingatiwe
Vaa mask, osha mikono kila muda
Epuka kugusana ovyo kusalimiana kwa mikono
Uwe balozi kwa wenzako kufikisha hili somo

Kemea mikusanyiko ya watu wengi
Maana ndio inasambaa sana
Tumia muda wako uwajuze wengi
Wajikinge na Corona

Kwa kubanana banana
Salamu tulizozoea ni kupeana mikono
Ili ujiweke salama epuka salamu 
Za kupeana mikono

Corona, uwe kijana 
Kemea Corona, jikinge na Corona
Baba mama
Kemea Corona, jikinge na Corona

Manesi na madoctor
Kemea Corona, jikinge na Corona
Watu wote
Kemea Corona, jikinge na Corona

Watch Video

About Corona

Album : Corona
Release Year : 2020
Copyright : (c) 2020
Added By : Huntyr Kelx
Published : Mar 26 , 2020

More B2K MNYAMA Lyrics

B2K MNYAMA
B2K MNYAMA
B2K MNYAMA
B2K MNYAMA

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl