B CLASSIC 006 Hali Yangu cover image

Hali Yangu Lyrics

Hali Yangu Lyrics by B CLASSIC 006


B Classic, 006
Na hali ya jana sio sawa na leo
Mwenye mali namuona daily kwa video
Ama ndio tuseme nyota yangu haijang'aa
Na riziki zangu zote zimekataa

Kuomba omba ee daily kama kichaa, ndo sana
Na sio kama naipenda hio hali naichukia
Kamoyo kukaeka hadharani
Hadi huruma, mie mnyonge kimapato
Na sina lolote elimu yangu kikwazo
Ninazidisha mikosi

Ama ndo basi
Mi naondoka kituo, mwenzio naondoka kituo
Mwenzio naumia sana
Wapi hio haki? Mwenzako mimi sielewi

Hali yangu ya matambara, naonewa ee
Sio kweli nakutang'ara 
Mwenzako hali yangu ya matambara, naonewa ee
Sio kweli nakutang'ara 
Mwenzako hali yangu ya matambara, naonewa ee
Sio kweli nakutang'ara 
Wapi hio haki? Mwenzako mimi sielewi

Mi naonewa eeh
Aje aje mtetezi
Aje aje mtetezi
Aje aje anione

Mbele za watu ninanuka
Napopita pita kwa maduka
Hata salamu wanakwepa 
Ati kisa mambo hayajajipa

Nimebaki mpweke sana
Akili pia imevurigika
Nimejikita kwenye sanaa 
Nione kama mambo yatajipa

Maana sielewi na tumbo linadai kila siku
Na kuna wengi wameshadai huruma hakuna 
Majalala ndo nyumba zetu tumeshazoea
Kama mabadiliko sio sana 
Hosana tunamuomba ee

Ama ndo basi
Mi naondoka kituo, mwenzio naondoka kituo
Mwenzio naumia sana
Wapi hio haki? Mwenzako mimi sielewi

Hali yangu ya matambara, naonewa ee
Sio kweli nakutang'ara 
Mwenzako hali yangu ya matambara, naonewa ee
Sio kweli nakutang'ara 
Mwenzako hali yangu ya matambara, naonewa ee
Sio kweli nakutang'ara 
Wapi hio haki? Mwenzako mimi sielewi

Mi naonewa eeh
Aje aje mtetezi
Aje aje mtetezi
Aje aje anione

Aje aje mtetezi
Aje aje mtetezi

Watch Video

About Hali Yangu

Album : Hali Yangu (Single)
Release Year : 2020
Copyright : (c) 2020
Added By : Huntyr Kelx
Published : Dec 15 , 2020

More B CLASSIC 006 Lyrics

B CLASSIC 006
B CLASSIC 006
B CLASSIC 006
B CLASSIC 006

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl