ASLAY Natiririka cover image

Natiririka Lyrics

Natiririka Lyrics by ASLAY


Iye
Lalalalala..
Lololololo..
Mmmmmhhh...

Sina nguvu ya kuleta matala
Mi kwako fala,
Sijiwezi hata kidogo
We nipige hata kwenye hadhara
Mi bado fala,
Sikuachi hata kidogo

Nimesimama nakupenda peke yako
Nilikula ujana
Ila kwako nimefunga kwato
Kamwambie na mama
Kwamba mimi ndo mpenzi wako
Waharibu ndugu lawama
Penzi letu kuligusa mwiko


Natiririka(iyeee)
Natiririka mama natiririka
Uzani umezidi wa wa kilo(kilooo)
Natiririka
Natiririka mama natiririka
Maji ya shingo yamenifika
Natiririka
Natiririka  mama natiririka
Yamenifika(oooh)
Natiririka
Natiririka  mama natiririka
Ananipa nacho taka ndo maaana

Simba nimekuwa farasi mnyonge
Bouncer anaepelekwa puta na mende
Yuko wapi mganga wako niende
Nataka nimpeke zawadi kilinge atulie

Na nilikuwa mkata
Ila kwako kidomodomo
Nimekataa nimekataa
Na nilikuwa matata
Ila kwako mtoto
Natamba natamba

Nimesimama nakupenda peke yako
Nilikula ujana
Ila kwako nimefunga kwato
Kamwambie na mama
Kwamba mimi ndo mpenzi wako
Waharibu ndugu lawama
Penzi letu kuligusa mwiko

Natiririka(iyeee)
Natiririka mama natiririka
Uzani umezidi wa wa kilo(kilooo)
Natiririka
Natiririka mama natiririka
Maji ya shingo yamenifika
Natiririka
Natiririka  mama natiririka
Yamenifika(oooh)
Natiririka
Natiririka  mama natiririka
Ananipa nacho taka ndo maaana

Natiririka natiririka
Mama natiririka
Mzani umezidiwa kilo kilo
Natiririka natiririka  mama natiririka
Maji ya shingo yamenifika natiririka
Natiririka  natiririka  mama natiririka
Ananipa nacho taka ndo maaana

Punguza dozi utakuja niua mwana wa mwenzio
Unanipeleka mperampera

 

Watch Video

About Natiririka

Album : Natiririka (Single)
Release Year : 2018
Added By : Huntyr Kelx
Published : Dec 11 , 2018

More ASLAY Lyrics

ASLAY
ASLAY
ASLAY
ASLAY

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl