APPY Sepa  cover image

Sepa Lyrics

Sepa Lyrics by APPY


Penzi gani la kushare
Hadhrani la teketea
Ila we you don't care
Ila we you don't care
Yani nakosa Amani
Nyumbani hatuelewani
Unadate nakina nanii
Na unajionyesha

Sina habari na we
Ni bora niseme
Eeh bhana mi sielewi
Eeh bhana mi sielewi
Sina habari na we
Ni bora niseme
Eeh bhana mi sielewi
Eeh bhana mi sielewi

Sepa sepa sepa
Moyo umeutesa sana inatosha
Sepa sepa sepa sepa sepa
Wouh
Sepa sepa sepa
Moyo umeutesa sana inatosha
Sepa sepa sepa sepa sepa
Wouh yeah

Zunguka magharibi kusini
Kote hutopata kama mi
Amini kwamba
Amini kwamba
Uligeuka mkoloni
Kitanzi shingoni
Ya allah b
Ya allah b
Hivyo hivyo nami nitapata
Penzi sio naleta utata
Mi mwenzio nimechapa lapa
Oh no

Sina habari na we
Ni bora niseme
Eeh bhana mi sielewi
Eeh bhana mi sielewi
Sina habari na we
Ni bora niseme
Eeh bhana mi sielewi
Eeh bhana mi sielewi

Sepa sepa sepa
Moyo umeutesa sana inatosha
Sepa sepa sepa sepa sepa
Wouh
Sepa sepa sepa
Moyo umeutesa sana inatosha
Sepa sepa sepa sepa sepa
Wouh

Watch Video

About Sepa

Album : Sepa (Single)
Release Year : 2023
Added By : Farida
Published : Jul 31 , 2023

More APPY Lyrics

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl