Taka Taka Lyrics by ALVINDO


Introducing Alvin, aka Alvindo
Magix Enga on the beat

Unakataa Kuwa dem yangu
Naenda kwa Mrogi nakuroga unakufa
Na nakujaa kwa mazishi yako
Kukula na kukunywa
Nikucheke ukizikwa
Unaringaga unaringa nini?
Na sura mbaya ata kuliko mbuzi
Roho chafu kama ya shetani
Unadhaniaga wewe ni nani?

Taka taka taka taka
Mapepo zinakufuata
Sijui ata ni nini niliona kwako
Ata ningejua ningekatia dadako
Taka taka taka taka
Mapepo zinakufuata
Sijui ata ni nini niliona kwako
Ata ningejua ningekatia dadako

Ulinikataa juu ulijua ntakukataa
Ju ka hungenikataa mi ningekukataa
So nikangoja we ndo unikatae first
Coz am a gentleman and ladies go first

But let me tell you something young woman
Apana wekea wanaume roho ya chuma
Ukikatiwa joh kubali kukatika
Ama ukizeeka ndio maringo itaisha

Bure kabisa  Na ukwende kabisa
Tuma beshte yako  akujie izo nguo ulibakisha
Bure kabisa  Na ukwende kabisa
Tuma beshte yako  akujie izo nguo ulibakisha

Unakataa Kuwa dem yangu
Naenda kwa Mrogi nakuroga unakufa
Na nakujaa kwa mazishi yako
Kukula na kukunywa
Nikucheke ukizikwa
Unaringaga unaringa nini?
Na sura mbaya ata kuliko mbuzi
Roho chafu kama ya shetani
Unadhaniaga wewe ni nani?

Taka taka taka taka
Mapepo zinakufuata
Sijui ata ni nini niliona kwako
Ata ningejua ningekatia dadako
Taka taka taka taka
Mapepo zinakufuata
Sijui ata ni nini niliona kwako
Ata ningejua ningekatia dadako

Kukupenda ndio mi huregretingi tu sana
Hata natamaningi hatungewai patana
Unaishi maisha fake na umejaa tu madrama
Ata nashukungu uliwachiangwa laana

Mara ati leo unaitwa Natasha
Kesho umechange jina unaitwa Soni
Leo uko single kesho ukona bwana
Mara unaishi Ronga mara unaishi doni
I even suspected you are a criminal
Na kama we ndo dem acha nikae hivo
Staki ata mwingine acha nikufe single
Umeniacha na chronic bachelor syndrome

Unakataa Kuwa dem yangu
Naenda kwa Mrogi nakuroga unakufa
Na nakujaa kwa mazishi yako
Kukula na kukunywa
Nikucheke ukizikwa
Unaringaga unaringa nini?
Na sura mbaya ata kuliko mbuzi
Roho chafu kama ya shetani
Unadhaniaga wewe ni nani?

Taka taka taka taka
Mapepo zinakufuata
Sijui ata ni nini niliona kwako
Ata ningejua ningekatia dadako
Taka taka taka taka
Mapepo zinakufuata
Sijui ata ni nini niliona kwako
Ata ningejua ningekatia dadako

(Fast Cash Records)

 

Watch Video

About Taka Taka

Album : Taka Taka (Single)
Release Year : 2019
Copyright : (c) 2020
Added By : Huntyr Kelx
Published : Apr 28 , 2019

More ALVINDO Lyrics

ALVINDO

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl