Nitakase Lyrics by ALI MUKHWANA


Bwana naomba Bwana unitakase
Mungu mwenye nguvu
Bwana naomba Bwana
Nitawaliwe nawe

Bwana naomba Bwana unitakase
Mungu mwenye nguvu
Bwana naomba Bwana
Nitawaliwe nawe

Hii safari ni ndefu Bwana
Nahitaji neema yako
Bwana naomba ooh
Nitawaliwe nawe

Siwezi bila wewe eeh
Siwezi bila wewe uniongoze
Nakuhitaji mwokozi wangu
Nitawaliwe na wewe

Bwana naomba Bwana unitakase
Mungu mwenye nguvu
Bwana naomba Bwana
Nitawaliwe nawe 

Bwana naomba Bwana unitakase
Mungu mwenye nguvu
Bwana naomba Bwana
Nitawaliwe nawe

Naomba roho wako mtakatifu
Aniongoze safarini
Naomba Bwana nitawaliwe nawe
Haya mambo ya duniani
Yamekuwa mengi kuliko akili yangu Baba
Naomba Yesu uuh nitawaliwe nawe
Siwezi bila wewe

Bwana naomba Bwana unitakase
Mungu mwenye nguvu
Bwana naomba Bwana
Nitawaliwe nawe

Bwana naomba Bwana unitakase
Mungu mwenye nguvu
Bwana naomba Bwana
Nitawaliwe nawe

Ombi la moyo wangu
Moyo wangu wakulilia ewe Yesu
Naomba kila siku nitawaliwe nawe
Siwezi bila wewe, nitazama bila wewe
Nakuhitaji Bwana wangu nitawaliwe nawe
Unitakase Bwana

Bwana naomba Bwana unitakase
Mungu mwenye nguvu
Bwana naomba Bwana
Nitawaliwe nawe

Bwana naomba Bwana unitakase
Mungu mwenye nguvu
Bwana naomba Bwana
Nitawaliwe nawe

Watch Video

About Nitakase

Album : Nitakase (Single)
Release Year : 2017
Copyright : (c) 2020
Added By : Huntyr Kelx
Published : Sep 28 , 2020

More ALI MUKHWANA Lyrics

ALI MUKHWANA
ALI MUKHWANA
ALI MUKHWANA
ALI MUKHWANA

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl