ADASA Siko Soko cover image

Siko Soko Lyrics

Siko Soko Lyrics by ADASA


Ni kama sijitambui sijielewi
Amenizaba na pengi lake
Sijikumbuki mi mahututi
Amenifunga na nyororo
Am so confused, going crazy
Kiutanitani nishajipa
Zumbukuku kichizi
Kimchezomchezo nishazama

Hua najipata nakula na yeye
Nalala na yeye
Naamka na yeye
Yaani me ni wake
Hua najipata nakula na yeye
Nalala na yeye
Naamka na yeye
Yaani me ni wake

Siko soko tena, nimenunuliwa
Hunipati tena nimechukuliwa
Siko soko tena, nimenunuliwa
Hunipati tena nimechukuliwa

Is this love they call, the love they sing
Abracadabra
Am feeling loved again, am young again
Sinaga ubaya
Yani mini ni wake na nishapendwa
Nishachukuliwa
Moloyoni mwake aah nimebebwa
Nimekubaliwa
Mini ni wake na nishapendwa
Nishachukuliwa
Moloyoni mwake aah nimebebwa
Nimekubaliwa

Hua najipata nakula na yeye
Nalala na yeye
Naamka na yeye
Yaani me ni wake
Hua najipata nakula na yeye
Nalala na yeye
Naamka na yeye
Yaani me ni wake

Siko soko tena, nimenunuliwa
Hunipati tena nimechukuliwa
Siko soko tena, nimenunuliwa
Hunipati tena nimechukuliwa

Watch Video

About Siko Soko

Album : Siko Soko (Single)
Release Year : 2023
Added By : Farida
Published : Aug 25 , 2023

More ADASA Lyrics

ADASA
ADASA
ADASA

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl