Adam Lyrics by ADAM MCHOMVU


Aah (Kiri) 
ADAM

Yooh,
Picha linaanza kaniumba kwa mfano wake
Kama hiyo haitoshi, akaniumbia wanawake
Toka ubavu wa kushoto, Mungu akafanya yake
Kila rangi, kila shepu, makabila and I like it (come on)

Akanipa dunia pande zote kuitawala
Kutenda yaliyo mema
Toka kwake kama mshahara, busara
Kufwata amri kumi, nikibugi ndio msala, risala
Kabla ya kufanya na baada iwepo sala, imara

Mara ninamuona Eva, anakuja akicheka cheka
Fika karibu yangu, mkononi tunda kashika
Huku anarembua hajui kama kadanganyika
Toka mti wa kati kaona nyoka kashoboka
Na hapo nilipo hapo, zilipo anza Heka heka heka

(Adamu Adamu, Uko wapi?)

Sauti ikasikika, niko chimboni nimejificha
Na hisi niko uchi na naona mapicha picha
Hawa nyoka na Eva, wamesha iharibu feature
Adhabu gani utayo nipa Mungu baba sipati picha

(Adamu, mbona umekula wewe?)

Tukapewa adhabu ya kuanza kula kwa jasho
Kuzaa kwa uchungu pia nitakula kwa macho
Nitachezea kirungu na pingu nikiwa na hustle
Najazilisha magudu nikiabudu ma freemason

Tunakukumbuka baba kwenye matatizo
Tu tunakula ujana kumbe kesho giza
Tu tunasali mchana kumbe usiku mwanga
Tu tusamehe baba ni danger ukisema soon

Tukeshe kwa makanisa na msikiti tukisali 
Tunapofanya makosa ni lazima tukubali
Tukiri, kisha tujibadili 
Sio kutoa lawama na kuulizana maswali

(Adamu, mbona umekula wewe?)

Haa! 
Hata ingekuwa wewe ungekula
Labda ningezaliwa Mchina maybe ningemla chura
Angalia maisha yako huu ni muda wa kumcha Mola
Na hamna nguzo imara zaidi ya kusimamisha swala
(swala swala)

Yeah, yeah
Hey, hey

ADAM 
Let go 
(Adamu, mbona umekula wewe?)

For the respect of the game 
Respect of my name 
Nasir Jones Escobar
The album Nassir, yeah
Area Code 255 Tanzania, Bea
Kiri record, one more time
Huh, stay positive bin Adam
You are my son, You are my daughter
Am your father ( haha) 
hii sio cover hi ni jalada

Watch Video

About Adam

Album : Adam (Single)
Release Year : 2019
Copyright : All rights to the owner.
Added By : Huntyr Kelx
Published : Apr 09 , 2019

More ADAM MCHOMVU Lyrics

ADAM MCHOMVU

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl