ZZERO SUFURI Chuki na Doo cover image

Chuki na Doo Lyrics

Chuki na Doo Lyrics by ZZERO SUFURI


Nimesaka form, nimesaka form, nimesaka form
Nimesaka form, nimekosa form, nimerudi home
Sa ju niko home, itabidi nimewasha ki --
Niwashe ki-- alafu baadae nipitie machuom

Cheki
Nimesaka form, nimesaka form, nimesaka form
Nimesaka form, nimekosa form, nimerudi home
Sa ju niko home, itabidi nimewasha ki --
Niwashe ki-- alafu baadae nipitie machuom

Cheki
Niko na chuki na doh 
Niko na chuki na doh 
Niko na chuki na doh 
Ju mi huzisakaga na sipati hizo doh 

Niko na chuki na doh 
Niko na chuki na doh 
Niko na chuki na doh 
Ju imefanya mamorio wengi wagoo doh 

Niko na chuki na doh 
Niko na chuki na doh 
Niko na chuki na doh 
Ju mi huzisakaga na sipati hizo doh 

Niko na chuki na doh, zilost nazipata kwa show
Bila show siwezi pata hizo doh
Kwani form hukuwa gani hizo doh zikilost

Hatukutani ka ni ghost, tupatane kwa beta
Nina was na kuzishika kuzitumia ni worse na
Nalipagwa once in a month, 
Once in a month ndo unafaa ulipe keja
Once in a month ukiendea tenje ikue mteja
Na madeni kwa duka ni kuongezeka
Na hushibi kwa hoteli unadai nyongeza eeh

Ni kujibonga si mbaya, ni kukosa pesa
Hii ni life bila pesa ngori joo, itakupea presha
Saa zingine kuhustle ni fiti, itakutosheleza
Maintain hii ground to the fullest na, eeh life itasonga

Lakini kitu ni ati bado iko
Niko na chuki na doh 
Niko na chuki na doh 
Niko na chuki na doh 

Niko na chuki na doh 
Niko na chuki na doh 
Niko na chuki na doh 
Ju mi huzisakaga na sipati hizo doh 

Niko na chuki na doh 
Niko na chuki na doh 
Niko na chuki na doh 
Ju imefanya mamorio wengi wagoo doh 

Niko na chuki na doh 
Niko na chuki na doh 
Niko na chuki na doh 
Ju mi huzisakaga na sipati hizo doh 

Yoh cheki
Eeh, acha tubonge basi ju ya stori na doh
Hii stori ngori joo
Tebu imagine na tumezunguka sana kwa hii life
Na we ndo starring joo

Ukikosa uchekwe, ukipata uweke 
Utaitwa mbleina tu ki yoo
Wanachapa vitu na tu vile unafaa kufanya
Ju sa hizo umepata maana

Eeh hadi madem walikulenga 
Juu sa hizo umezipata ni ka wote wanakufuata
Cheki, ni juu ya nini ka si ganji?
Sa zile uko chini jo hawakuhitaji

Ningekuwa pesa, ningekuwa natesa
Ningekuwa nateta na silali kwa MPESA
Kazi ni kuwareweza  saa zingine kuwatekesa
Nakwara kulala bank, ndo nilale kwa baesa

Watch Video

About Chuki na Doo

Album : Chuki na Doo (Single)
Release Year : 2019
Copyright : (c) 2019 RGM empire.
Added By : Huntyr Kelx
Published : Jul 13 , 2019

More ZZERO SUFURI Lyrics

ZZERO SUFURI
ZZERO SUFURI
ZZERO SUFURI
ZZERO SUFURI

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl