Raha Lyrics by ZEE


Oh babe eh 
Vile unanifanyia mandingo
Ndo nijisikie
Unanikoko-kosha babaa

Oh babe eeh
Penzi nyota tusafirie 
Unanitosha 
Unanitosha tosha ah

Kila chumba changu kwenye moyo wangu 
Ushapanga wee
Kama nikikosa, nikikosa nisamehe

Hata nuru yangu na nyota yangu 
Sare na wewe
Usije ukanitosa, ukanitosa nife

We ni dawaaaa 
Umeniponya maumivu 
Nilotoka nayo nyuma

Usiote mbawa
Usije ukaruka 
Ukasepa nao maana

We ni dawaaaa 
Umeniponya maumivu 
Nilotoka nayo nyuma

Usiote mbawa
Usije ukaruka 
Ukasepa nao maana

Unanipa raha, unanipa raha
Unanipa raha unanipa raha
Unanipa raha, unanipa raha
Unanipa raha unanipa raha

Umenipa dawa ya sumu ya mapenzi
Nimepagawa na team yako nipe jezi
Nilinde nyumba yako wasifike wezi
Tule baraka za wazazi wako na Mwenyezi
 
Mwili wote mali yako chezeaa
Ning’inia kwenye bomba lako bembeaaa
Napenda kuona miguu yako vile ukitembea
Napenda ukiongea macho yamelegea

Lazima ntasogea unajua nimekolea
Unanchanganya na michezo ya kitanga
Nyuma ulivojaza ndani moja kanga
Nakukataza mama usiende kwa waganga

Penzi limenichalaza na haujashika panga
Umekalisha wanga haujui kudanga 
Umenipiga lock nikitoka kimungu mungu 
Raha unazonipa mpaka nahisi kizunguzungu 
(Bizy, Bizy)
 
We ni dawaaaa 
Umeniponya maumivu 
Nilotoka nayo nyuma

Usiote mbawa
Usije ukaruka 
Ukasepa nao maana

We ni dawaaaa 
Umeniponya maumivu 
Nilotoka nayo nyuma

Usiote mbawa
Usije ukaruka 
Ukasepa nao maana

Unanipa raha, unanipa raha
Unanipa raha unanipa raha
Unanipa raha, unanipa raha
Unanipa raha unanipa raha

Watch Video

About Raha

Album : Raha (Album)
Release Year : 2020
Copyright : (c) 2020
Added By : Huntyr Kelx
Published : May 01 , 2020

More ZEE Lyrics

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl