ZEE Umeniroga cover image

Umeniroga Lyrics

Umeniroga Lyrics by ZEE


Jagwani umeota mtendeni
Mashetani yashapanda kichwani
Penzi ladha utamu wa peremende
Mganga kakoleza udi na ubani#

Nitekenye kwenye mbavu
Basi niguze taratibu watikisa nyavu
Nichechemee kama mlemavu
Kwako beki hazikabi usiniweke sub

Mbona wanapata tabu vijiba vya roho
Penzi limenoga
Ugali na kisambu naridhika roho
Kwako mi mzoga

Kitandani nipe swagga la kashasha (Chambua)
Imeshalowa babe weka marker (Kamua)
Tandika jamvi tena changa na karata (Binua)
Wenye chosha kanaswa kibaka

Umeshaniroga, roga utata
Niroga, roga utata
Umeshaniroga, roga utata
Niroga, roga utata

[City Boy]
Lazima imebaki kikaka
My baby boo chonde na macho kwa kitumbua 
Utamu wako wa kashata
Mi roho juu nafika kunako, mikono juu

Ju ka Minaj nakazana, si pendo la kumimina
Naota nikikutaja jina
Si kama na act, twapanda tati, shopping twende Madina
Ngozi za nyoka tutoe China 

Kitandani nipe swagga la kashasha (Chambua)
We komoa nizidi kudata (Binua)
Kama kamovigesi zifike Basata (Zingua)
Kwenye toto kanaswa kibaka 

Nasema girl umeniroga, roga utata
Niroga, roga utata
Nasema girl umeniroga, roga utata
Niroga, roga utata

Nitekenye kwenye mbavu
Basi niguze taratibu watikisa nyavu
Nichechemee kama mlemavu
Kwako beki hazikabi usiniweke sub

Mbona wanapata tabu vijiba vya roho
Penzi limenoga
Ugali na kisambu naridhika roho
Kwako mi mzoga

Ju ka Minaj nakazana, si pendo la kumimina
Naota nikikutaja jina
Si kama na act, twapanda tati, shopping twende Madina
Ngozi za nyoka tutoe China 

Umeshaniroga, roga utata
Niroga, roga utata
Umeshaniroga, roga utata
Niroga, roga utata

Watch Video

About Umeniroga

Album : Umeniroga (Single)
Release Year : 2020
Copyright : (c) 2020
Added By : Huntyr Kelx
Published : Oct 06 , 2020

More ZEE Lyrics

ZEE
ZEE
ZEE
ZEE

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl