Unafaa Lyrics by WALTER CHILAMBO


Macho yameona na tena nimesikia habari njema kwangu
Moyo una shauku pia kukuona zaidi bwana wangu
Nina kiu kiu isio kata aah ni kama nipo jangwani naona vumbi tu
Nahitaji chakula cha roho yangu mi nipone kwa maana nipo jangwani
(Ninakuhitaji yeyeeh)

Ukae na mimi  ukae ndani yangu nikae na wewe uwe salama yangu
Ukae na mimi  ukae ndani yangu nikae na wewe uwe salama yangu
Hakika wewe   unafaa (unafaa)

Baba sitamani nije kwako mikono mitupu nibariki nikutolee sadaka
Najua nikiwa mikononi mwako  nitakua shwari nitakuwa shwari
Kwa mana ahadi zako si uongo (uongo) ndivyo hivyo unatimiza ahadi
Ndo maana sina wasiwasi ndo maana sina waasi

Ukae na mimi ukae ndani yangu nikae na wewe iwe salama yang
Baba (huhuhuuuh) ukae ndani yangu nikae na wewe (babababababah)
Ni wewe unanifaa    unafaa  (unafaa)
We ni babaah (unafaa)   baba ni wewe unastahili (unafaa)

Njoo ukate kiu yangu

Watch Video

About Unafaa

Album : Ushuhuda (Album)
Release Year : 2022
Added By : Farida
Published : May 12 , 2022

More WALTER CHILAMBO Lyrics

WALTER CHILAMBO
WALTER CHILAMBO
WALTER CHILAMBO
WALTER CHILAMBO

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl