Umwema Lyrics by SISTER JOAN


Umwema, umwema 
Umwema Yesu umwema
Umwema, umwema 
Umwema Yesu umwema

Wewe ni kila kitu maishani mwangu
Wewe ni vyote Baba maishani mwangu
Wewe ni kila kitu maishani mwangu
Wewe ni vyote Baba maishani mwangu

Tangu utoto wangu hujaniacha
Katikati ya taabu ukaniona
Shida na masimango vilipozidi
Ukanipenda nami ukaniona

Wengi waliniona sina dhamani
Nikulipe nini Mungu umeniona
Umekuwa Baba umekuwa mwalimu
Umekuwa chakula changu nikupe nini?

Umwema, umwema 
Umwema Yesu umwema
Umwema, umwema 
Umwema Yesu umwema

Umenibadilishia watu walivyonijua
Umenipa jina jingine mimi ni wako
Walihesabu siku zangu zitakuwa vile
Kumbe ulipanga mazuri nikupe nini

Kuna walionitoka njiani
Wapo walionikataa kabisa
Ushukuriwe Mungu wewe si mwanadamu
Ulipanga mazuri Baba nikupe nini?

Ni rafiki yangu Baba
Ni mwalimu wa kweli wewe
Ni mpenzi wa mimi karibu sana
Mimi Baba nikupe nini?

Umwema, umwema 
Umwema Yesu umwema
Umwema, umwema 
Umwema Yesu umwema

Umwema, umwema 
Umwema Yesu umwema
Umwema, umwema 
Umwema Yesu umwema

Watch Video

About Umwema

Album : Umwema (Single)
Release Year : 2020
Copyright : (c) 2020
Added By : Huntyr Kelx
Published : Dec 06 , 2020

More SISTER JOAN Lyrics

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl