UPENDO NKONE Utabaki na Mimi cover image

Utabaki na Mimi Lyrics

Utabaki na Mimi Lyrics by UPENDO NKONE


Utabaki na mimi, utabaki na mimi
Wengine wakiniacha Yesu, utabaki na mimi
Utabaki na mimi, utabaki na mimi Baba
Wengine wakiniacha Yesu utabaki na mimi

Utabaki na mimi, utabaki na mimi
Wengine wakiniacha Yesu, utabaki na mimi
Utabaki na mimi, utabaki na mimi 
Wengine wakiniacha Yesu utabaki na mimi

Katika pito hili baba (Utabaki na mimi)
Kwenye magumu haya baba (Utabaki na mimi)
Wengine wakiniacha Yesu utabaki na mimi

Utabaki na mimi baba (Utabaki na mimi)
Uwe mfano wangu Yesu (Utabaki na mimi)
Wengine wakiniacha Yesu utabaki na mimi

Majaribu ni kama moto yanauchoma moyo
Yamenipata mimi moyoni mwangu naumia
Nimesongwa pande zote sioni nafuu
Yesu njoo uwe na mimi

Kichwa changu kinaniuma moyo una mawazo
Jaribu hili baba yangu naona ni nzito sana
Limenijia kwa ghafla nimehuzunika sana
Yesu njoo nifariji moyo

Utabaki na mimi, utabaki na mimi
Wengine wakiniacha Yesu, utabaki na mimi
Utabaki na mimi, utabaki na mimi 
Wengine wakiniacha Yesu utabaki na mimi

Utabaki na mimi, utabaki na mimi
Wengine wakiniacha Yesu, utabaki na mimi
Utabaki na mimi, utabaki na mimi 
Wengine wakiniacha Yesu utabaki na mimi

Unisimamishe tena baba (Utabaki na mimi)
Nishike mkono baba (Utabaki na mimi)
Wengine wakiniacha Yesu utabaki na mimi

Unisimamishe tena baba (Utabaki na mimi)
Nishike mkono baba (Utabaki na mimi)
Wengine wakiniacha Yesu utabaki na mimi

Mimi nalia machozi yangu uyaone baba
Mwili wangu umetetemeka pito ni nzito
Ewe Mungu wa urejesho unirejeshe tena
Yesu wangu uwe na mimi

Nakuomba baba wa huruma unitulize
Faraja yako Yesu wangu iwe na mimi
Unishike mkono Mungu wangu uniinue tena
Yesu njoo uwe na mimi 

Utabaki na mimi, utabaki na mimi
Wengine wakiniacha Yesu, utabaki na mimi
Utabaki na mimi, utabaki na mimi 
Wengine wakiniacha Yesu utabaki na mimi

Utabaki na mimi, utabaki na mimi
Wengine wakiniacha Yesu, utabaki na mimi
Utabaki na mimi, utabaki na mimi 
Wengine wakiniacha Yesu utabaki na mimi

Hata nikiwa mjane baba (Utabaki na mimi)
Hata nikiwa yatima (Utabaki na mimi)
Usiniache baba, usiniache baba
Wengine wakiniacha Yesu utabaki na mimi

Hata ndoa ikiisha (Utabaki na mimi)
Hata ndoa ikiisha baba (Utabaki na mimi)
Wengine wakiniacha Yesu utabaki na mimi

Hata wakinitenga (Utabaki na mimi)
Wakinifukuza mimi (Utabaki na mimi)
Wengine wakiniacha Yesu utabaki na mimi

Marafiki wakikimbia (Utabaki na mimi)
Na dunia ikinitenga (Utabaki na mimi)
Wengine wakiniacha Yesu utabaki na mimi

Washirika wakinigeuka (Utabaki na mimi)
Utabaki na mimi Baba (Utabaki na mimi)
Wengine wakiniacha Yesu utabaki na mimi

Watoto wangu wakinitenga (Utabaki na mimi)
Yesu utabaki na mimi (Utabaki na mimi)
Wengine wakiniacha Yesu utabaki na mimi

Wewe faraja ya moyo wangu
Yesu mtuliza bahari

Watch Video

About Utabaki na Mimi

Album : Utabaki na Mimi (Single)
Release Year : 2020
Copyright : (c) 2021
Added By : Huntyr Kelx
Published : Jan 16 , 2021

More UPENDO NKONE Lyrics

UPENDO NKONE
UPENDO NKONE
UPENDO NKONE
UPENDO NKONE

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl