UPENDO NKONE Unabaki Kuitwa Mungu cover image

Unabaki Kuitwa Mungu Lyrics

Unabaki Kuitwa Mungu Lyrics by UPENDO NKONE


Unabaki kuitwa Mungu
Hata kama ulinihuzunisha
Unabaki kuitwa Mungu
Hata kama haujajibu maswali

Unabaki kuitwa Mungu
Hata kama pito langu ni nzito
Unabaki kuitwa Mungu
Maana wewe ni Mungu mkuu

Umesema nikutafute sana baba
Ndipo nitakapo kuona bwana wangu
Nimefanya hivyo kwa miaka mingi sana
Lakini bado uko kimya

Ona watu wameanza kunicheka sana
Aibu hii nijifiche wapi Yesu wangu
Na umesema hautaniaibisha  wee
Nitendee Yesu nisiaibike

Unabaki kuitwa Mungu
Hata kama ulinihuzunisha
Unabaki kuitwa Mungu
Hata kama haujajibu maswali

Unabaki kuitwa Mungu
Hata kama pito langu ni nzito
Unabaki kuitwa Mungu
Maana wewe ni Mungu mkuu

Safari ya wokovu sio mchezo
Tunakutana na mambo mazito sana
Ambayo mtu kuyategemea
Na tena yanaumiza moyo

Lakini Mungu yeye ni mwaminifu sana
Anafanya mlango wa kutokea
Jitie moyo katika bwana
Maana faraja ya kweli yatoka kwake

Unabaki kuitwa Mungu
Hata kama ulinihuzunisha
Unabaki kuitwa Mungu
Hata kama haujajibu maswali

Unabaki kuitwa Mungu
Hata kama pito langu ni nzito
Unabaki kuitwa Mungu
Maana wewe ni Mungu mkuu

Watch Video

About Unabaki Kuitwa Mungu

Album : Unabaki Kuitwa Mungu (Single)
Release Year : 2020
Copyright : (c) 2021
Added By : Huntyr Kelx
Published : Jan 16 , 2021

More UPENDO NKONE Lyrics

UPENDO NKONE
UPENDO NKONE
UPENDO NKONE
UPENDO NKONE

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl