Lawama Lyrics by SUDI BOY


Ananipa bila ya kesi
Nacheza mechi bila jezi
Toto lawama, akichutama
Toto dimanga nitammanga nikiwa waba
Toto lawama, akichutama
Toto dimanga nitammanga nikiwa waba
Nitammanga nikiwa jaba

Odi wa Murang'a nathobotha morigo
Kiboko iko biggy katakula magego
Sijui ni ka Nyeri ama Lokichogio
Na mimi nitachimba ki ogichagi yo

Nunu iko bushy enda ufyeke kwanza
Ita mtu ya nduthi na uteme jaba kwanza
Hii kilalo ya juzi chuki supu ya mala
Ni kizazi cha juzi kuiva mbichwa na mabang'a

Mtoto si ana turi ni ka amebebea kijiji
Kukaza sana kunyi ni kama amemeza firimbi
Naona mbili mbili ni kama nimeguchia fagi
Kumangana sana chuma ishamwaga rangi

Ananipa bila ya kesi
Nacheza mechi bila jezi
Toto lawama, akichutama
Toto dimanga nitammanga nikiwa waba
Toto lawama, akichutama
Toto dimanga nitammanga nikiwa waba
Nitammanga nikiwa jaba

Mbus mbus ako taki ya mjulus
Ah juju imebaki guru aah
Nyanya kwanza kimahuru
Hadi mtoto bana atatoa ushuru

Na ni vum washa kishada ndani ya moti
Na ni dum mambaru kwa giza wakukembe
Kukichum nyanya kabisa ubonde sura ka cartoon
Wasupa wameseswa na mamorio ni magoon
Chura atokwe hadi abaki amefyum
Athoshwe na kimiti hadi abaki map2
Kemba msupa niko pin na kidungi 
Mbleina mtungi anza kivumbi

Ananipa bila ya kesi
Nacheza mechi bila jezi
Toto lawama, akichutama
Toto dimanga nitammanga nikiwa waba
Toto lawama, akichutama
Toto dimanga nitammanga nikiwa waba
Nitammanga nikiwa jaba

Ameweka lawama venye ameinama
Anapiga nduru ju already imezama
Toto ako fiti anapenda kata waba
Usiku mchana mchuma inalala

Aluta na jaba kutuna ufaya
Mashuka marasa kushuka kurushwa 
Janki wako wengi kuwatoka kuwafurusha
Kuguza kapusa kunusa kunuka
Katambe kalambe kamange katage
Kajunior katakuja katakuwa kikusa
Kataitwa Njeri ama Tasha ama Lisa
Fisi wafisi katasema kameriswa

Ananipa bila ya kesi
Nacheza mechi bila jezi
Toto lawama, akichutama
Toto dimanga nitammanga nikiwa waba
Toto lawama, akichutama
Toto dimanga nitammanga nikiwa waba
Nitammanga nikiwa jaba

Watch Video

About Lawama

Album : Lawama (Single)
Release Year : 2019
Copyright : (c) 2019
Added By : Huntyr Kelx
Published : Nov 28 , 2019

More SUDI BOY Lyrics

SUDI BOY
SUDI BOY
SUDI BOY
SUDI BOY

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl