Haina Kwere Lyrics by SUDI BOY


Dj Deklcak
Zum zum zum zum, aah
(Sadafah)

Ni Zzero kama sos mi ndio sos
Mi ndio boss, mi ndio

Ulila dede, machero 
Ganda kaa la shwari bebe
Oh dede usinicheue
Ataka la flari hadai sembe

Oh baby niko full 
Kwanza nishafunga mkanda
Tayari kupambana

Nitakesha usiku mchana
Nikumiliki bwana
Nikikosa tumuombe sana ye Jalali
Tukitoka kapa we 
Tumuombe sana ye Jalali

Haina kwere, haina kwere
Haina kwere
Haina, ugali tutapata

Haina kwere (Haina)
Haina haina (Haina)
Haina kwere
Haina mpenzi wangu tutapata

[Exray]
Kama unasema ati mtoto wa balaa
Wa kutanga, atakufanya wewe chizi
Maskele ni ngala ngala 
Huyu girla, atakufanya uwe mwizi

Wa kizungu siwezi
Aki ya Mungu she just stole my heart
Nina nguvu kishenzi
Aki ndugu, all I got is us

Bad boys like you
I need a bad boy like you, you
Bad girl like you
I need a bad girl like you, you

Mama mia sijai fika Karatina 
No kwenyu near, nakunywaga Muratina
Gosh mafitina ng'oka mushina 
Sina bima, njoo kwangu dinner

Haina kwere, haina kwere
Haina kwere
Haina, ugali tutapata

Haina kwere (Haina)
Haina haina (Haina)
Haina kwere
Haina mpenzi wangu tutapata

Cheki tukichuna hata usiseme
Nishike ka kajaba 
Alafu unifanye nisikuteme
Wako nifanye na upende
Taja kila mahali unadai si twende

Najua ni dem machali wote wadai kudate
Najua kuonyesha Dv anaweza relate
Usihesitate ukiwa na mimi we tinga gate
Debate itabaki kwani morio aliku-illuminate

I'mma a badboy round ingine natinga
Ju ya ku-sign macheck sana 
Huskii nilishakatinga
Mi hubuy mandula ndula na doh za zimenishika
Na bado maplatnumz waanze kuniconfuse na simba
Yeah yeah

Haina kwere, haina kwere
Haina kwere
Haina, ugali tutapata

Haina kwere (Haina)
Haina haina (Haina)
Haina kwere
Haina mpenzi wangu tutapata

(Dj Deklack)

Watch Video

About Haina Kwere

Album : Haina Kwere (Single)
Release Year : 2020
Copyright : (c) 2020
Added By : Huntyr Kelx
Published : Aug 29 , 2020

More SUDI BOY Lyrics

SUDI BOY
SUDI BOY
SUDI BOY
SUDI BOY

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl