SSARU Rhumba ya Ssaru cover image

Rhumba ya Ssaru Lyrics

Rhumba ya Ssaru Lyrics by SSARU


Hello baby shika simu kuna news fulani
Najua kwamba huna habari la kwanza fahamu nakuja nyumbani
Leo nimeland walai nakam ni serious sio utani
Naskia kuna jam baby relax, hebu anza kuchoma ubani
Unaletanga harufu fulani
Unafanya mi nakutamani
Ni penzi nafeel kwa ndani
Mi fika ni -
Aah yaani hunny, this stress huwanga ni majani
Nikuite hunny kwani? Nimebeba magendo ya chwani
We niruhusu si nusu nusu baby nakuja nikupe mabusu
Mi huwa natembea na silaha butu
Wacha waseme ndio mi nisubutu

Mi nikipenda napenda kwa dhati 
So you man (Niwache)
Kama ni uchawi nakubali basi
My baby (Niwache)
Alafu kukuacha nasema sitaki
Niwe nawe mpaka milele eeh eh  (Niwache)

Kama ni uchawi nakubali basi
My baby (Niwache)
Alafu kukuacha nasema sitaki
Niwe nawe mpaka milele eeh eh  (Niwache)

Baby nasema niwache

Mi nawasili kesi navuruga nafanya bila wakili
Yaani sio siri huku mjini mapenzi yanahitaji akili
Mi siamini yule ukidhani ako sawa ni ndume kuwili
Na niko makini huku majengo ya kijiji na wako mjini

Hapa nilipo mi nikafika na nikasettle
We use kijiko mi nikoroge ju na go mental
Nikikwaza roho ikuume iwe kesi ya dental
Na mi huwa simind ka baby ukitaka tufike karental
So leo ukikosa juu mi sikutoki nangoja ya kesho
Ki rhumba ya Ssaru nikija madem tufunge maleso

Mi nikipenda napenda kwa dhati 
So you man (Niwache)
Kama ni uchawi nakubali basi
My baby (Niwache)
Alafu kukuacha nasema sitaki
Niwe nawe mpaka milele eeh eh  (Niwache)

Kama ni uchawi nakubali basi
My baby (Niwache)
Alafu kukuacha nasema sitaki
Niwe nawe mpaka milele eeh eh  (Niwache)

Watch Video

About Rhumba ya Ssaru

Album : Rhumba ya Ssaru (Single)
Release Year : 2021
Copyright : (c) 2021
Added By : Huntyr Kelx
Published : Jul 28 , 2021

More SSARU Lyrics

SSARU
SSARU
SSARU

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl