Tembeza Lyrics by SSARU


Moda

Leo kuna agenda Fulani nataka kuaddress tena sai hadharani
Tena nimejipa kibali sicheki na uyo mshenzi anadhani ni utani
Mi nimechukua usukani ila Karibu mgeni na ufeel uko nyumbani
Natamani nikupe samahani ila roho inakataa maana ni ngumu jamani
Kwanza,nianze na nani? Naskia kuna jamaa mahali Ana madem chwani
Tena wana sura funny funny nilimuona mwengine Anafanana kama nyani
Nimekuja kuwakilisha,chafu kama hizi mi ndio nasafisha
Ubaya ndio narekebisha maana huku kwenye street nimetamatisha
Kutisha natishaga daily kuitisha naitishanga baileys
Wembamba nilipata wa reli,mistari ina uzito wa train
Nahonda amepata iyo meli sa nikusail hadi tufike spain
Kijana akitupa kangeli rudi usome ju hapa utafeli

Joh ni kunoma
Tembeza Punguza pupa hapa utagangwa (buda tembeza)
Mbogi ni jamo Huru marui rui (te te te tembeza )
Utabakishwa na hatukujui jui (buda tembeza)
Joh ni kunoma
Tembeza Punguza pupa hapa utagangwa (buda tembeza)
Mbogi ni jamo Huru marui rui (te te te tembeza )
Utabakishwa na hatukujui jui (buda tembeza

Ukianza kuhate umelegeza mimi siko hapa kwa ajili ya kukupendeza
Najua mnataka kanyongeza, ila hamtaki kupongeza
Niko uwanjani napepeta yule ako pale namuona anapekecha
Yani kuna mambo yanachekesha, bado kuna watu wanakeketa
Tembeza mi huwa si fan wa kudekeza
Koleza tamu ikizidi naongeza
Mrazi akichoma anatembeza,usidhani uku ndani tunabembeleza
Yule anakuja kiundercover kumbe anakuja kupeleleza
Ah yeah,moda! Sumu ni kama ya chatu
Huku ndani Tuko kama watatu
Tamu ndio imekuwa chachu
Hata kama we ni mtu wa watu bana usisemage Siri za bafu
Nendeni mseme udaku,tembeza imefufua wafu

Joh ni kunoma
Tembeza Punguza pupa hapa utagangwa (buda tembeza)
Mbogi ni jamo Huru marui rui (te te te tembeza )
Utabakishwa na hatukujui jui (buda tembeza
Joh ni kunoma
Tembeza Punguza pupa hapa utagangwa (buda tembeza)
Mbogi ni jamo Huru marui rui (te te te tembeza )
Utabakishwa na hatukujui jui (buda tembeza)

Watch Video

About Tembeza

Album : Tembeza (Single)
Release Year : 2022
Added By : Farida
Published : Jun 03 , 2022

More SSARU Lyrics

SSARU
SSARU
SSARU

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl