Chukua Lyrics by SANAIPEI TANDE


Sanaipei na niko na The beat killer
Ana mchezo wa kutisha zake si za kubahatisha
Akianza sugua utamwomba tamatisha
Mitendo yake chungu mzima
Aishi kunipinda pinda
Tukiyatamatisha maumivu yafika ncha

Akiniita, ooh najipa mzima mzima
Akiniita, sina fikira za kumnyima

Ana ile sitima yataka kuzimwa
Mi ndio mwenye kifaa ah
Ana ile sitima yataka kuzimwa
Mi ndio mwenye kifaa ah

Chukua nampa, chukua nampa
Chukua nampa, chukua nampa
Chukua nampa, chukua nampa
Chukua nampa, chukua nampa

Haina haja kufungua pazia
Ye huenda kiza hadi kiza
Pandisha tu sauti kwenye spika
Majirani wasije kaskia
Zile sauti za raha ah ah
Zile sauti za ah ah ah 

Akiniita, ooh najipa mzima mzima
Akiniita, sina fikira za kumnyima

Ana ile sitima yataka kuzimwa
Mi ndio mwenye kifaa ah
Ana ile sitima yataka kuzimwa
Mi ndio mwenye kifaa ah

Chukua nampa, chukua nampa
Chukua nampa, chukua nampa
Chukua nampa, chukua nampa
Chukua nampa, chukua nampa

Naomba kipepeo, nipepee nipepee
Maji ya baridi, nipozee nipozee
Mafuta ya nazi, nipake nipake
Basi na pozi, twendelee twendelee 

Chukua nampa, chukua nampa
Chukua nampa, chukua nampa
Chukua nampa, chukua nampa
Chukua nampa, chukua nampa

Watch Video

About Chukua

Album : Nabo (EP)
Release Year : 2021
Copyright : (c) 2021
Added By : Huntyr Kelx
Published : Nov 08 , 2021

More lyrics from Nabo (EP) album

More SANAIPEI TANDE Lyrics

SANAIPEI TANDE
SANAIPEI TANDE
SANAIPEI TANDE
SANAIPEI TANDE

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl