Mkombozi Lyrics by ROMA


Owoo, owoooo
Aaah aah sema na Mola
Aaah bado napolia mama
Eh eh eh eeeh eeeeh

(Tongwe Records)
*Bin Laden*

Napiga goti napiga ishara ya msalaba
Dunia imenipiga kofi namuomba Baba la baba
Nipimie shoti ya bapa nizime mada
Asubuhi nigongee noti niende kuifanya ibada

Nadaiwa kodi ya pango, nadaiwa ada ya watoto
Na mama wa kambo anamchuna baba
Na baba yuko ng'ambo ni mwaka sijaona msaada
Ama kweli dunia ina mambo hadi jogoo anaweza taga

Jirani ananiambia be humble, be humble
Nikipiga kizinga we unafunga mlango 
That's ridiculous(Hahaha) it's now funny am serious
Am genius, though inanitesa am notorious

Baba hakutupa uridhi, wa pasi wala feni
Wala peni ambayo ingenipa elimu shuleni
Bali alituachia madeni na sifa ambayo kweni
Sa huyo ndo baba gani? Humble au mtemi?

Na mtaani kuna binti nimempa mimba
Mtoto mgeda muda wote pira litadimba
Na sina dusko so kwa doctor siwezi timba siwezi vimbva
Na kila chocho Bongo wananilinda

Nimekesha kwa waganga 
Nimevunja nazi njia panda
Nimeshikishwa tungule msata 
Mkata nikambeba manyanga

Mi kesha kinabiii
Nyumba zote za ibada
Nimeshiriki sana
Maana sura kukufuru sijaumbwa nawe

Kumbe yupo Mungu, Mkombozi
Wa kukufuta machozi 
Pale unapolia mwana
We baba(Yeiii wowowowo)

Kumbe yupo Mungu, Mkombozi
Wa kukufuta machozi 
Pale unapolia mwana
We baba(Yeiii wowowowo)

Nishaiba nikaenda mabusu na ndugu hawakuja niona
Na wakasema hayawahusu mwizi anatakiwa kuchomwa
Nilipotoka nikawabusu wakasema nimewasonya
Nikaona eeh maji mazito kuliko damu ya Roma

Ukiendekeza ndugu, utavuna magugu
Utakufa kidudu na Mungu hutamwabudu
Utamkataa wa joto utamkana wa baridi
Atabakia wa vuguvugu naye pia ataleta gubu

Si campi keto, stressi inaleta furaha freshi
Be passion, anguko kubwa ni kuikosa attention
Its not fair, nawapa proposal they dont care
Na watasema huna demandi fitina watakuekea

Huku nadaiwa vikoba, kule nadaiwa rejesho
Naenda kujificha goba, usiku narudi peko
Nawaza hata kuroga nikiamini nitaipata kesho
Au nisali sala toba nijue nikwepe mateso

Ooh Jesus, fanya miujiza
Naona giza ukija mwanga unaniumiza
So please kama unaskiza naijongea hatari
Useme neno moja tu naahidi nitakesha pale

Nimekesha kwa waganga 
Nimevunja nazi njia panda
Nimeshikishwa tungule msata 
Mkata nikambeba manyanga

Mi kesha kinabiii
Nyumba zote za ibada
Nimeshiriki sana
Maana sura kukufuru sijaumbwa nawe

Kumbe yupo Mungu, Mkombozi
Wa kukufuta machozi 
Pale unapolia mwana
We baba(Yeiii wowowowo)

Kumbe yupo Mungu, Mkombozi
Wa kukufuta machozi 
Pale unapolia mwana
We baba(Yeiii wowowowo)

We baba, we mwana
Aah pale unapolia mama 
(Eh eh eeh eeeh)

Kumbe yupo Mungu, Mkombozi
Pale unapolia mama
We baba eeeh eeh

Kumbe yupo Mungu, Mkombozi
Pale unapolia mama
We baba eeeh eeh 

(Tongwe Records)
*Bin Laden*

Watch Video

About Mkombozi

Album : Mkombozi (Single)
Release Year : 2020
Copyright : (c) 2020
Added By : Huntyr Kelx
Published : Jan 03 , 2020

More ROMA Lyrics

ROMA
ROMA
ROMA

Comments ( 2 )

.
jessey 2020-01-06 19:49:27

Si campi keto= it's complicated naijongea hatari= naijongea altari

.
4221 2020-05-04 09:31:34

Kweli unaleta matumaini



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl