Kifolongo Lyrics by RJ THE DJ


Rj The Dj all day baby

Kiraru raru usiwe na haya ukatulia
Una kiwaru waru kutanga tanga kiguu na njia
We jini kifaru, vya watu unavamia
Unacharuka charu, kiso chako huna nyaa pia

Huchagui mzima awe mdondo
Msikinde ama msondo
Kiguu ama kamongo
We twende

Ati kimechina kina shombo
Kwa Kinshasa Congo
Makabila manufongo
Kiwembe(Iyee)

Aaah
Kifolongo, kifolongo
Rudi kwenyu ni chamba wima
Kifolongo, kifolongo
Hili jiji lina zizima

Kifolongo, kifolongo
Rudi kwenyu ni chamba wima
Kifolongo, kifolongo
Hili jiji lina zizima

Oooh...
Aaah...

Kaa weka naki chini 
Yaani ni uma kama lote
Yaani kama lote

Kaa abadilishwa jina
Aitwa sungura tope
Sungura tope

Nani hamjui kwa kuzoa zoa
Kipe nyembe
Yeye hachagui bomoa bomoa
Kibelenge

Kwa mabachela
Hupozwa kimoko(moko moko)
Tipa serera
Mchanga na kokoto(kokoto)

Goma la masela
Tepe boko boko(boko boko)
Ni kanga na dera
Mambo fogo fogo(fogo fogo)

Aaah
Kifolongo, kifolongo
Rudi kwenyu ni chamba wima
Kifolongo, kifolongo
Hili jiji lina zizima

Kifolongo, kifolongo
Rudi kwenyu ni chamba wima
Kifolongo, kifolongo
Hili jiji lina zizima

Hahaa...
Unapanda lifti ya gari 
Ya pilipili babu eeh
Imemuwashaa...

[Lava Lava]
Siri imevuja
Kagonganisha mabwana huyu kimwenu
Anawavuruga 
Wameandamana wanazembo

Kwa kubadili sample
Kafanya ushindani(kala fala)
Iwe dampo ama bababarani(kwa dala dala)

Akupa utakacho, 
Hata kwenye majani(kwenye jalala) 
Ulicho nacho yeye anakwara

Aaah
Kifolongo, kifolongo
Rudi kwenyu ni chamba wima
Kifolongo, kifolongo
Hili jiji lina zizima

Kifolongo, kifolongo
Rudi kwenyu ni chamba wima
Kifolongo, kifolongo
Hili jiji lina zizima

[Khadiha Kopa]
Hahaa...
Umeonapi 
Kutwika pulika si mapapasha 
Umeula huu...

Haya msogode, msogode mchomoe
Mwana nyungu kalilia mzinga si wake
Mkokote , mkokote mbomoe
Mwana nyungu kalilia mzinga eeeh..

Aah...
Pembe hilo pembe hilo
La ng'ombe hilo
Pembe hilo pembe hilo
La ng'ombe hilo

Lawamaliza waganga(pembe)
Mikuki kutwa kupunga(la ng'ombe)
Singeli mara jaranga(pembe)
Imemponza kiranga(la ng'ombe)

Anagombea mgomba(pembe)
Mandizi hajaipanda(la ng'ombe)
Mashua la haso kibanda(pembe)
La ng’ombe 

Hahaha...Waso haya wanamjua
Namjua huko
Hata viwanja havijapimwa

Umekuja mjini na jembe
Na si utalima lami baba
Wenzio tuko tangu enzi za tobwa
Wewe umekuja umerogiwa na soda

Umeangukia pua babu wee
Hahaha...

Watch Video

About Kifolongo

Album : Kifolongo (Single)
Release Year : 2019
Copyright : All rights to the owner.
Added By : Huntyr Kelx
Published : May 11 , 2019

More RJ THE DJ Lyrics

RJ THE DJ
RJ THE DJ
RJ THE DJ
RJ THE DJ

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl