J SISTERS Nipokee cover image

Nipokee Lyrics

Nipokee Lyrics by J SISTERS


Nimesikia habari njema
Kwamba wewe ndie unayeponya
Kwa macho nimeona
Watu wengi wanafunguliwa

Nasema, matendo ya kwako ni makuu sana
Haulinganishwi, haufananishwi
Yesu ninakujua, wewe ni mwema kwangu
Moyo mweupe upo mbele zako Baba

Leo sasa nipokee baba
Nakuja mbele zako nipokee Yesu
Nikae uweponi

Nikae uweponi wako 
Nijue wema wako
Nikae uweponi wako 
Nijue wema wako

Leo sasa nipokee baba
Nakuja mbele zako nipokee Yesu
Roho yangu ipokee wewe
Sina cha kukulipa wee, wee
Sina cha kukulipa wee, wee

You are called a star
Lifted high
You're mine king of kings
Nimekombolewa barikiwa
Kwa mkono wako Yesu wee

I enjoy your presence God
Surrounded by your glory
Tasting your goodness
Just as I am, as I am

Cleanse my heart
Move my life
Saturate me with your love

Nikae uweponi wako 
Nijue wema wako
Nikae uweponi wako 
Nijue wema wako

We kimbilio langu
We msaada wangu wee
Tegemeo langu wee
We ushindi wangu wee
Uzima wangu wee
Tumaini langu wee

Wee furaha yangu wee
Wee amani yangu
We faraja yangu

Watch Video

About Nipokee

Album : Nipokee (Single)
Release Year : 2018
Copyright : (c) 2020
Added By : Huntyr Kelx
Published : Oct 11 , 2020

More J SISTERS Lyrics

J SISTERS

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl