Cheza Lyrics by RJ THE DJ


Rj the Dj, all day baby

Penzi lina meno limeuma
Lina ya mbele na ya nyuma
Ukipata wa kukutafuna 

--sina shaka mama
Kila chonde chonde
Saa na tochole wasijue
Jamani

Eti baba akiwa anapodoa
Wakijua na wanatoboa
Midomo juu kwanza kuzoboa
Sisi ni machuna kama ndoa

Mama, wapige tatararira
Mpaka chini wakachuna
Maneno si kifaa dura
Mimi na wangu vimara
Wameshasema sana 
Mwisho wa siku nitazikwa naye

Cheza inama, cheza inuka
Cheza inama, cheza inuka
Cheza inama, cheza inuka
Cheza inama, cheza inuka

--------------------

--------------------

Eti baba akiwa anapodoa
Wakijua na wanatoboa
Midomo juu kwanza kuzoboa
Sisi ni machuna kama ndoa

Mama, wapige tatararira
Mpaka chini wakachuna
Maneno si kifaa dura
Mimi na wangu vimara
Wameshasema sana 
Mwisho wa siku nitazikwa naye

Cheza inama, cheza inuka
Cheza inama, cheza inuka
Cheza inama, cheza inuka
Cheza inama, cheza inuka

Watch Video

About Cheza

Album : Changes/ Cheza (Album)
Release Year : 2019
Copyright : (c) 2019 Wasafi Records
Added By : Huntyr Kelx
Published : Aug 07 , 2019

More lyrics from Changes album

More RJ THE DJ Lyrics

RJ THE DJ
RJ THE DJ
RJ THE DJ
RJ THE DJ

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl