No Neva Lyrics by REKLES


No neva, no neva
Kuacha mavela no neva
Ukidai makali we pewa
Mimi kuacha mavela no neva
Ukidai makali we pewa
Mimi kuacha mavela no neva

Ukidai makali we pewa
Mimi kuacha mavela no neva
Ukidai makali we pewa
Mimi kuacha mavela no neva

No neva, no neva
Kuacha mavela no neva
No neva, no neva
Kuacha mavela no neva

Mbona buda jo unasuck sana ka nekta
Chingri mi huchapa dry jamaa sidai chaser
Ati revolutionary we si Mandela
Ukidai pewa hakuna presha
Kuna tupesa niko maji maji buda kila area
Ndio maana bana mi huzururanga na bartender

Sikiza shule mi nilikuwa naitwa mannerless
Sa hii nashika mamita toka kwa salary
Mbona unaniita na niko Germany
Nabonga na madiva wananitamani

Ukidai makali we pewa
Mimi kuacha mavela no neva
Ukidai makali we pewa
Mimi kuacha mavela no neva

No neva, no neva
Kuacha mavela no neva
No neva, no neva
Kuacha mavela no neva

Ati nini husumbua rappers wakirap
Si ati beef ni tu vitu zako zote si huskizaga jo ni crap
Mi hukufeel shida ni hupendi ukweli
We hupenda kuchochwa na mafans
Na pia ju sipendi kesi acha ninyamaze ju najua umejaa gas

Siwezi kuacha mavela pia veve du
Napenda zishike nifike hadi juu
Kwanza alele naseti na njugu
Nikiomoka hakuna tena kaguu

Nikuririma ririma kuziseti
Makwela na pishori kwa vibeti
Mafutani na simaanishi kwa peti
Rongai nachachisha hadi Westy
No Neva ni vela forever
We neva leta mali safi usilete whatever

Ukidai makali we pewa
Mimi kuacha mavela no neva
Ukidai makali we pewa
Mimi kuacha mavela no neva

No neva, no neva
Kuacha mavela no neva
No neva, no neva
Kuacha mavela no neva

 

 

Watch Video

About No Neva

Album : No Neva (Single)
Release Year : 2021
Copyright : (c) 2021
Added By : Huntyr Kelx
Published : May 12 , 2021

More REKLES Lyrics

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl