OCTOPIZZO Sitaki cover image

Sitaki Lyrics

Sitaki Lyrics by OCTOPIZZO


Sitaki, mamorio wa kuchachisha
Sitaki, ngoma za kubahatisha
Sitaki, photographer anachoma picha
Sitaki, uongo za makanisa

Siku ya Valentine ndo mi huwa naua ua
Niko sure sure ka huko rada manze bana kuwa
Germany USA ni tour tour
Jua jua imechoma lakini nikitrip naua jua

Shimo mbili na sibongi juu ya pua pua
Ghetto king maskini wanadai mi ni poor poor
Msupa kabla utoke manze kuwa sure
Vua vua cheza na Don then fua fua

Saloonist, venye nasonga
Nadinyaga mapoints nikibonga
Ambia Lola ni Pizzo de 
Na kuna venye anadai ako na tiba

Ile kidonda sitaki
Friday what you upto staki
Nichukue cab utalipa boo, staki
Backseat ka unakaa unafika bei
Ma backstage na wasupa wanabonga sheng
Gang gang

Sitaki, mamorio wa kuchachisha
Sitaki, ngoma za kubahatisha
Sitaki, photographer anachoma picha
Sitaki, uongo za makanisa

Staki staki staki
Kwa hizi Streets Pizzo De
Wanadai bado mi ndio star King
Bars on bars coz wameshinda wakinistaki
Kamiti gang utajitetea ukiwa wapi?
Walami wanadai mbona nawapenda
Wamesahau wao ndio walipatia Uhuru Kenyatta

1963 hadi leo huskii bado sijai 
Feel freedom kwa hizi street
1963 some ghetto university 
Intellect Si degree

Mfungwa, mtumwa
Tangu handshake wengi kuna venye
Waliwacha kukulaga chungwa
Mkubwa sukumwa, lakini ukiingia area zangu bana
Itabidi umecheza ndogo

Niko njaa man 
Na nikicheki fiti food 
Imejaa pan ni Chicken Terriyaki
Sitaki, kunishika juu ya nduku
Sitaki, wasanii hawapigi looku
Sitaki, kuletewa ugali bila supu
Sitaki, hizi siasa za kukuwa mangata

Sitaki, mamorio wa kuchachisha
Sitaki, ngoma za kubahatisha
Sitaki, photographer anachoma picha
Sitaki, uongo za makanisa

Soma soma ni Pizzo de na ngoma noma
Ngoja ngoja kuna beef ni nyama choma
I see you washanikoma
Chebukati anasweat na bado hatutoki Bomas

Mapenzi maua na bado yaua
Niko Watamu mtu wangu nakula halua
kelele zingine hapana tambua
Kuja 8Town watakushow Pizzo ni sumbua

Daily ni gomba sober
Who is the culture doper
Piga magoti omba
P.I.Z.Z god Mcee
Always right even though me leftie
Na niko lowkey

Sitaki, mamorio wa kuchachisha
Sitaki, ngoma za kubahatisha
Sitaki, photographer anachoma picha
Sitaki, uongo za makanisa

"Tukipatana wewe husema una haraka
Ya nini unitese bila sababu
Fikiria kwa makini ninayosema mama
Usiniweke kwa hali hii mpenzi wee
Ayee mama "

Watch Video

About Sitaki

Album : Jungle Fever (Album)
Release Year : 2020
Copyright : (c) 2020
Added By : Huntyr Kelx
Published : Nov 19 , 2020

More lyrics from Jungle Fever album

More OCTOPIZZO Lyrics

TBT
OCTOPIZZO
OCTOPIZZO
OCTOPIZZO
OCTOPIZZO

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl