NACHA Who I Am  cover image

Who I Am Lyrics

Who I Am Lyrics by NACHA


(Nyasubi ndani ya mbanyu tena)

Nilisoma nipate kazi but now niko na certificate na ni jobless tu
Wenye akili ndogo watauona huu wimbo kama Yope
Na ninachofanya ni ku wa entertain tu
When I wake up badala ya kumshukuru Mungu kwa kuniamsha salama
Mi nawasha data

Wala si kuisoma Civics
Afro shirazi na tanu wala sina kadi ya wanachama
Ila kutwa wanatukana kuhusu siasa
Nina mwanamke sinza, nina mwanamke Mbaghala
Na siridhiki ngono nikirudi home najichua kabla ya kulala

Yaani naitafuta meli Morogoro kwa mkogoro
Who I am? Mi ni mfungwa au nina kasoro
Oooh namkumbuka Sarafina freedom is coming tomorrow
Ex wangu bado ananitext eti amenimiss huko kileleni hafiki
Mke wa mtu na ana watoto alifunga ndoa ya kifahari Pentecost church
Na gospel artist baadhi yao ni ka wanamdhihaki tu Mungu
Wanachoimba na matendo yao hayaendani na kumcha Mungu
Hata nikiwatch kwa TV simwoni Nacha akicheza
Namwona video vixen akitwerk
Watoto wetu kwa TV ndicho wanachojifunza wakajibu NETA Yes

----------
------

Watch Video

About Who I Am

Album : Backslide (Single)
Release Year : 2021
Copyright : (c) 2021
Added By : Huntyr Kelx
Published : Apr 07 , 2021

More NACHA Lyrics

NACHA
NACHA
NACHA
NACHA

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl