NACHA Wake Up cover image

Wake Up Lyrics

Wake Up Lyrics by NACHA


Kajipambanie mwenyewe
Usipo pambana atakupambania nani
Aah tupa shuka kumeshapambazuka

Ualimu sio wito kubeba vitabu vya history
Vumbi la chaki mshahara hautoshi usijali mwalimu wake up, wake up
Aah polisi wake up, kalinde mali na watu
Sio mateso ndio ajira usivunjike moyo katu
Boda boda amka kafate oda
Mjini ni ubishi ili tuishi mjini hapataki uoga
Nesi dokta tunawategemea
Msije mkagoma maisha yetu yanawategemea
Mida ndo hii mida ndo hii machizi
Wanangu wa chuo wake up tukasake degress
Achene kulala lala tuwahi madaladala
Kazi za watu zinataka uwe fala okay
Maniga I’m telling kukakaa vijiweni
Mtalaumu serikali bure wanangu amkeni
Mama nitilie nijazie success ni juhudi amka kahudumie

Wake up
Kajipambanie mwenyewe
Wake up
Usipopapambana atakupambania nani
Wake up
Kajipambanie mwenyewe
Wake up
Aah tupa shuka kumeshapambazuka

Viongozi wake up tuliwapa vyeo
Sio kujaza matumbo yenu bali maendeleo wake up
Aah walinzi wake up
Footballers wake up
Dj’s wake up
Presenters wake up
Dada wa nyumbani
Maisha ni mitihani
Ooh wake up dada wa saloom
Sokoni wake up
Kanisani wake up
Madukani wake up
Ooh wake up
Bamedi wake ep kuna watu wanakutegemea
Kusoma kuvaa kula kulala kwa kazi hiyo hiyo ya kuuza bia
Machinga mafundi gereji
Wasanii wapiga debe wabeba zege

Wake up
Kajipambanie mwenyewe
Wake up
Usipopapambana atakupambania nani
Wake up
Kajipambanie mwenyewe
Wake up
Aah tupa shuka kumeshapambazuka

Mtaji wa maskini nguvu zake mwenyewe
Tupa shuka pambana mwenyewe
Jipambanie mwenyewe mwenyewe
Mwenyewe mwenyewe

Watch Video

About Wake Up

Album : Wake Up (Single)
Release Year : 2023
Added By : Farida
Published : Jul 25 , 2023

More NACHA Lyrics

NACHA
NACHA
NACHA
NACHA

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl