NIKKI MBISHI Nataka Kutoka  cover image

Nataka Kutoka Lyrics

Nataka Kutoka Lyrics by NIKKI MBISHI


Bro nataka kutoka
Unataka kutoka kwani wewe mwari?
Bro nisaidie nami nataka kutoka
(Tongwe Records) Toka hapa! 
Nitoke vipi?

Bwana misosi akatoka
Hmm ila Alikiba hajatoka
Japo kuna mida ukiingia unamkosa
Anaingia anatoka, anaingia anatoka
Wewe ambaye unataka kutoja hujamuona?

Diamond hajatoka, hujaskia ana ngoma
Anavyo wakanyaga sijui nani atapona
Na Tanasha ana kibendi, ila mi sijakiona
Sijui hikio kibemi, ni lini kitatoka 
Na akitoka tutaona ka ni simba au ni nyoka

Unataka kutoka kwani we mwari?
Unataka kutoka bro ulikuwa ndani?Watu bwana
Ng'ang'ania ng'ang'ania mlango utakubana
Joh Makini si kaka ako, katokea ala
Ye na Fid Q wote bado sana
Hawajawai kutoka wapo wapo sana
AY hajatoka, FA hajatoka
Roma hajatoka, Vee Money hajatoka
Nakushangaa wewe bana unataka kutoka

Bro nataka kutoka
Unataka kutoka kwani wewe mwari?
Bro nisaidie nami nataka kutoka
Haya toka hapa! 

Nani mwingine anayetaka kutoka
Anyooshe kidole nimtoe 
Nani mwingine anayetaka kutoka
Anyooshe kidole nimtoe 

Walitest kumwendea simba, kumshika wakashindwa
Akawa boss wa redio na kituo cha runinga, anavimba
Watoto wacha kupiga mayowe, kufuatana DM
(Bro una kipaji, naomba unitoe)

Nyie madogo mnachekesha kweli kweli
Mnawaza kutoka kabla kuingia
Hamjifunzi kuwa tufsia aliyetoka 
Kwa sababu ya ulofa 
Mnaenda ikizagaa zawadi ya unyota eeh

Mwisho inakuwa unyoka, unyama unyamani
Hudai fair play kwenye unyang'anyo
Ubishi unasaidia, ndio maana sitoki
Nang'ang'ana sing'oki, kufanana usifosi

MB Doggy ametoka
Mr Nice ametoka
Ferooz ametoka
Fathe sele ametoka

Inasemekana eti kwenye game wamechoka
Wanaotaka kutoka fuateni hizo ndoto
Mnazi ota

Bro nataka kutoka
Unataka kutoka kwani wewe mwari?
Bro nisaidie nami nataka kutoka
Haya toka hapa! 


Nani mwingine anayetaka kutoka
Anyooshe kidole nimtoe 
Nani mwingine anayetaka kutoka
Anyooshe kidole nimtoe 

Watch Video

About Nataka Kutoka

Album : Nataka Kutoka (Single)
Release Year : 2019
Copyright : (c) 2019
Added By : Huntyr Kelx
Published : Sep 09 , 2019

More NIKKI MBISHI Lyrics

NIKKI MBISHI
NIKKI MBISHI
NIKKI MBISHI
NIKKI MBISHI

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl