...

Huu Mwaka Lyrics by DAYOO


Huu mwaka eeh

Ndo mwaka wakufosi

Yani mtake msitake

Huu mwaka mtanita boss

Oya sieti eeh

Mmmh

Chuii

Onanana

Ooooh

Huu mwaka eeh

Ndo mwaka wakufosi

Mtake msitake mtaniita boss

Huu mwaka eeh, wa faida sio loss

Tushalala njaa huu mwaka mwendo wa misosi

Sisi mungu, anatulinda

Japo maadui wengi wanatuwinda

Vita nyingi, ila tutashinda tushanyanyasika

Huu mwaka mwendo wa kuvimba eeeh

Huu mwaka nanunua gari niwane lifti (amen)

Huu mwaka namaliza nyumba yangu kibiti

Huu mwaka wa machozi kwa ex alienisaliti

Siku ya harusi yangu msimpe hata juisi anikomee

Huu mwaka eeeh

Huu mwaka eeeh

Huu mwaka eeeh

Huu mwaka eeeh

Huu mwaka eeh

Ndo mwaka wakufosi

Yani mtake msitake mtanii boss

Huu mwaka eeeh

Huu mwaka eeeh

Huu mwaka eeeh

Huu mwaka eeeh

Kwanza nashukuru tumevukaka, tumeuona

Yale yaliyo pita, yametukomaza

Oya wanangu wa boda boda

Wakina mama wauza mboga

Ata wachawi wabeba nyota

Huu mwaka ni wetu

Kama unadanga danga sana

Ila usisahau ku meki bwana

Uje kujenga kakibanda

Nawe uwe na kwenu

Na ukipata limama eeeeh

Likomoe, likupe pesa

Huu mwaka utoboe

Oya usikae kizembe, na usichague jembe

Kama mkulima lima, kama unaimba imba utoboe

Huu mwaka eeeh

Huu mwaka eeeh

Huu mwaka eeeh

Huu mwaka eeeh

Huu mwaka eeeh

Huu mwaka eeeh

Huu mwaka eeeh

Huu mwaka eeeh

Watch Video

About Huu Mwaka

Album : (Single)
Release Year : 2024
Copyright :
Added By : Farida
Published : Aug 16 , 2024

More DAYOO Lyrics

DAYOO
DAYOO
DAYOO

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl