MR BLUE Kiguu na Njia cover image

Kiguu na Njia Lyrics

Kiguu na Njia Lyrics by MR BLUE


Never loose, yeah yeah yeah

Nimehustle miaka mingi
Eti mpaka leo bado niko kwenye mbio
Kwa kusaka shilingi
Eti mpaka leo sioni mafanikio

Nyumbani hakuna raha 
Kila siku ni vilio
Watoto wanalia njaa aah
Kero kwenye masikio

Ila one day nitapata na mimi
Walopata wana nini
Na mimi nimekosa, nimekosa nini
Ila one day ye ye ye 

Kama Mungu namuamini
Na mi najiamini 
Sasa niko na nini?

Kiguu na njia oooh
Jua linatoka na kuzama nipo kwenye njia
Kushoto na kulia oooh
Ila Mungu yupo na nia na sitakata tamaa

Kiguu na njia oooh
Jua linatoka na kuzama nipo kwenye njia
Kushoto na kulia oooh
Ila Mungu yupo na nia na sitakata tamaa

Jua linawaka
Mwenzenu nimechoka
Mifuko imetoboka
Mi nasota ye ye yeee

Kama Mungu wangu yupo
Basi najua ipo hata nikipata mwisho
Labda kinikute kifo
Ila Mungu yupo na subiri nione mwisho

Lazima nichukue jiko
Ah hakuna jiko bila mshiko
Vyakula kwa vijiko 
Madiko diko mpaka tunalamba mwiko

Ila one day nitapata ghetto kuu
Mmoja wa kuwa na mimi 
Kuniamini kunidhamini
One day ye ye yeee 

Kama Mungu namuamini
Na mi najiamini 
Sasa kuna nini?

Jua linatoka na kuzama nipo kwenye njia
Kushoto na kulia oooh
Ila Mungu yupo na nia na sitakata tamaa

Kiguu na njia eiyee
Jua linatoka na kuzama nipo kwenye njia
Kushoto na kulia oooh
Ila Mungu yupo na nia na sitokata tamaa

Jua linawaka
Mwenzenu nimechoka
Mifuko imetoboka
Mi nasota ye ye yeee

Watch Video

About Kiguu na Njia

Album : Kiguu na Njia (Single)
Release Year : 2020
Copyright : (c) 2020
Added By : Huntyr Kelx
Published : Jun 04 , 2020

More MR BLUE Lyrics

MR BLUE
MR BLUE
MR BLUE
MR BLUE

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl